Huo ndio ukweli.Kwa wanao pitia hali ya kukosa amani ilio au inayo sababishwa wa wapenzi wao wake zao waume zao. Ikiwa hujakutana na hali ya kukosa amani moyoni inayo sababishwa na mwenza wako basi shukuru MUNGU hali hii isikupate, uendelee kusikia kwa wenzio tu.View attachment 1954089
Kwa wanao pitia hali ya kukosa amani ilio au inayo sababishwa na wapenzi wao wake zao waume zao. Ikiwa hujakutana na hali ya kukosa amani moyoni inayo sababishwa na mwenza wako basi shukuru MUNGU hali hii isikupate, uendelee kusikia kwa wenzio tu.View attachment 1954089
Sanaaa ni balaa unaweza check ukichanganya na kilioView attachment 1954113 Sema kimeumana..
Siku gani mkuu? Mimi huwezi kunikuta kwenye hilo kundi lenu. Naweza kusema nilikuwepo ila nilishatoka saivi nipo mbali sana.Iko siku utayaona na hutaongea
🤣🤣 Wacha nicheke tu mkuu sikupi pole maana wakati naumia mimi hakuna alienipaga pole! Nilikuwa naumia mwenyewe.. kauli yangu ni moja tu mkuu pambana.Sanaaa ni balaa unaweza check ukichanganya na kilio
Sijasema sina hisia ila haziniendeshe. Mimi ndio naziendesha. So huwezi kunikuta nalia lia kama wewe hapa.Hakuna mwanadamu asie na isia la uwe umewahi kiti cha mbele mbinguni.
mbinguni siyo sehemu halisi mkuu, ni watu waliokosa mwelekeo hujifariji watapata pumziko mbinguni.Hakuna mwanadamu asie na isia la uwe umewahi kiti cha mbele mbinguni.
Uchungu wa mapenzi hauna experience, kila unapoumizwa maumivu huwa ni tofauti.Siku gani mkuu? Mimi huwezi kunikuta kwenye hilo kundi lenu. Naweza kusema nilikuwepo ila nilishatoka saivi nipo mbali sana.
Siendeshwi na emotions mimi.