Me naona aibu nikifa usingizini nikiwa uchi,bora kuungua,kuzama baharini au kugongwa na gari,maana yake ni kwamba nitakuwa nimetoka najielewa maana nimetoka nyumbani!
Tangu lini maiti akaona aibuUkiwa peke yako hujionei aibu wewe mwenyewe tu unaweza kufanya chochote
Ndio,siku akifa mtu wako wa karibu hebu muweke uchi ule muda wa kuangalia maiti!
Ni vzuri,,,,kufa usingizini nadhani inachangiwa na moyo au presha ,,, ila yote kwa yote kila mtu ameandikiwa kufa kwa namna yake,, pole kwa kufiwa na mzeeSijawahi kuvuta bangi hata siku moja wala sigara ya kawaida,mirungi na powder situmii,imagine umekufa ukiwa usingizini!Marehemu babaangu alikufa Usingizini so inaweza kutokea hata kwangu au kwako!
Kwani ukifa Uchi.Uchi cha ajabu nini hiko kidudu chako??
Hivi wenzetu muda wakuwaza mambo kama haya mnautoaga wapi jamani
Me naona aibu nikifa usingizini nikiwa uchi,bora kuungua,kuzama baharini au kugongwa na gari,maana yake ni kwamba nitakuwa nimetoka najielewa maana nimetoka nyumbani!
Me naona aibu nikifa usingizini nikiwa uchi,bora kuungua,kuzama baharini au kugongwa na gari,maana yake ni kwamba nitakuwa nimetoka najielewa maana nimetoka nyumbani!
Rubii jamani rubii. Huyu mwenzetu alikuwa anawaza juu ya noa Yake akiyoahidiwa na JPMKwani ukifa Uchi.Uchi cha ajabu nini hiko kidudu chako??
Hivi wenzetu muda wakuwaza mambo kama haya mnautoaga wapi jamani
Poleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
HaaaNAONA mkuu bange unayovuta ni ule msokoto mkubwa,,zamani kijiweni tulikuwa tunauita famtom,,, halafu kitu dry no mixer,si mchezo
Hata ukilala na nguo ukifa utavuliwa tuKwa sababu ya baridi watu kama wa arusha wanalala na nguo na je wa Daresaalam!
Kwani ukifa Uchi.Uchi cha ajabu nini hiko kidudu chako??
Hivi wenzetu muda wakuwaza mambo kama haya mnautoaga wapi jamani
mkuu hivi kidudu kinatumika kwa jinsia gani vile?Nimekumbuka mbali sana.Wewe ni mdada mwenye akili nyingi sana.Kwani ukifa Uchi.Uchi cha ajabu nini hiko kidudu chako??
Hivi wenzetu muda wakuwaza mambo kama haya mnautoaga wapi jamani