Ikitokea Ukafa Ukiwa Usingizini!

Ikitokea Ukafa Ukiwa Usingizini!

Cha msingi, ni kuiweka sawa Roho yako, kabla ya kwenda kulala. Ulale ukiwa mkamilifu kiroho. Mwili hauna thamani baada ya kifo. Mawazo yangu tu.
 
Wkt wa kutaka kufa ukiwa usingizini kwanza utapata ndoto ya kukuarifu kuwa unakufa.Cha kufanya amka uvae bukta ulale tena ili ufe ukiwa umejisitiri
Akishavaa bukta hlf asimame wima kabisa, asimame nga nga nga... asife kinyonge!
Asikubali kabisa kufa usingizini, akatae katakata!
 
Me naona aibu nikifa usingizini nikiwa uchi,bora kuungua,kuzama baharini au kugongwa na gari,maana yake ni kwamba nitakuwa nimetoka najielewa maana nimetoka nyumbani!
Na wasiwasi na umri wako...na akili yako pia..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu lala na nguo unaweza tu ukapata paralysis je itakuwaje?
Kuna mambo mengine maishani ukiyafikiria sana unaweza usipate jibu sahihi.
Ktk huo mfano ikiwa ulikuwa umejisaidia haja hapo hawatalazimika kukubadili mavazi? Kama shida ni kukuchungulia utachunguliwa tu unapokuwa hujiwezi.
 
Poleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
Asilimia kubwa ya vijana wa kitanzania wana mawazo ya kipuuzi...
 
Ukifikiria Sana huwezi pata usingizi vyovyote itakavokua let it happen.
 
Poleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
Kuijistiri kwa kuvaa mavazi ya heshima ni wakati wote,kuna watu mbona wanavaa mavazi yasiyo na staha na wanatembea nayo barabarani mchana kweupe?

kukutwa umekufa bila kujistiri na kuvaa mavazi yasio ya staha na kutembea nayo barabarani kipi kibaya zaidi?

Usiogope kufa bila kujistiri bali ogopa kufa na dhambi,

Muogope Mungu zaidi kuliko kuwaogopa binadamu.
 
Asante. Cha msingi ni kwenda mbele za hali ikiwa, eti ukifa utajisitiri je! haina mashiko hiyo

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Cha msingi ni kwenda Mbele zake ukiwa safi

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom