Ikitokea kama ilivyotokea 2015, Lissu atafanya kama kile alichofanya Dkt. Slaa?

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,953
4,326
Mazungumuzo yanaendelea kati ya ACT-Wazalendo na CHADEMA kuweka mgombea mmoja wa urais ili kuongeza nguvu ya ushawishi wa kuing'oa CCM madarakani.

Sasa je, ikitokea vyama hivyo viwili vikaamua kumuweka Bernard Membe kuwa mgombea wao kwa nafasi ya Urais kwa manufaa ya vyama vyao, Tundu Lissu hatafanya kama alichofanya Dkt. Willbroad Slaa mwaka 2015?

Dkt. Slaa alitimkia Canada. Je, Tundu Lissu atatimukia wapi? Ubelgiji? Maana yeye tayari alishasema hatakubali.

Kwa kweli yajayo yanafurahisha.

Maalim Seif amtwisha Mbowe mzigo wa ushirikiano, yeye amjibu
 
Wakati ule wa UKAWA makubaliano yalikuwa rahisi sababu CHADEMA ilikuwa very powerful tofauti na sasa ambapo majimbo mengi yapo rehani huku ACT-Wazalendo ikiwa na dalili zote za kuwa main opposition.

Hapa ni CHADEMA kushuka na kukubali 50/50 na ACT-Wazalendo ili waunganishe nguvu yenye tija au wakubali kucheza kamari ya kwenda pekee yao na kugawana kura na Membe mwenye backup ya Zitto.
 
Kwa Hotuba ya Leo Lissu nina amini hata huyo Membe huko alipo amepiga saluti amekuna kichwa na amekubali kama ana nia kweli ya dhati..na kule Magogoni leo kitanda hakilaliki kwa Mawazo na maumivu.
Wenye maamuzi ni wenyeviti wa vyama hivyo ( Seif na Mwamba) kwa niaba ya vyama vyao. Lissu kama alivyokuwa Silaa kipindi hicho ni nobody na hapaswi kubwabwaja! Apende asipende hayamuhusu. Swali ni jee atatimukia Ubeligiji kama alivyotimukia Canada mtangulizi wake kwa kutokubaliana na maamuzi ya wenye vyama kumuweka Membe kuwa mgombea wao wa uraisi?

NB: Brnard Membe is of course a more presidential material than Tundu Lissu. Atavuna kura nyingi zaidi na kuongeza ruzuku kwa vyama hivi. He is more physically and mentally more fit than Tundu Lissu. He is a diplomat while Tundu is a mere activist.
 
Wenye maamuzi ni wenyeviti wa vyama hivyo ( Seif na Mwamba) kwa niaba ya vyama vyao. Lissu kama alivyokuwa Silaa kipindi hicho ni nobody na hapaswi kubwabwaja! Apende asipende hayamuhusu. Swali ni jee atatimukia Ubeligiji kama alivyotimukia Canada mtangulizi wake kwa kutokubaliana na maamuzi ya wenye vyama kumuweka Membe kuwa mgombea wao wa uraisi?

NB: Brnard Membe is of course a more presidential material than Tundu Lissu. Atavuna kura nyingi zaidi na kuongeza ruzuku kwa vyama hivi. He is more physically and mentally more fit than Tundu Lissu. He is a diplomat while Tundu is a mere activist.
Usimfananishe Lissu na watu waajabu. Ni Yeye #2020#. iwe jua , iwe kimbunga ni Yeye no else. Kwanza Lissu keshapenya kura za maoni ndani ya Chadema unamfananishaje na Slaa ambaye hakupenyaga kwenye Kura za maoni?? shame on you by fail to compare these issues. we endelea na Ccm yako ya Chadema waachie wanachadema.
 
Wenye maamuzi ni wenyeviti wa vyama hivyo ( Seif na Mwamba) kwa niaba ya vyama vyao. Lissu kama alivyokuwa Silaa kipindi hicho ni nobody na hapaswi kubwabwaja! Apende asipende hayamuhusu. Swali ni jee atatimukia Ubeligiji kama alivyotimukia Canada mtangulizi wake kwa kutokubaliana na maamuzi ya wenye vyama kumuweka Membe kuwa mgombea wao wa uraisi?

NB: Brnard Membe is of course a more presidential material than Tundu Lissu. Atavuna kura nyingi zaidi na kuongeza ruzuku kwa vyama hivi. He is more physically and mentally more fit than Tundu Lissu. He is a diplomat while Tundu is a mere activist.
Nimependa kauli Membe is presidential material than Lissu.
 
Wenye maamuzi ni wenyeviti wa vyama hivyo ( Seif na Mwamba) kwa niaba ya vyama vyao. Lissu kama alivyokuwa Silaa kipindi hicho ni nobody na hapaswi kubwabwaja! Apende asipende hayamuhusu. Swali ni jee atatimukia Ubeligiji kama alivyotimukia Canada mtangulizi wake kwa kutokubaliana na maamuzi ya wenye vyama kumuweka Membe kuwa mgombea wao wa uraisi?

NB: Brnard Membe is of course a more presidential material than Tundu Lissu. Atavuna kura nyingi zaidi na kuongeza ruzuku kwa vyama hivi. He is more physically and mentally more fit than Tundu Lissu. He is a diplomat while Tundu is a mere activist.
BM he is ccm in his heart. Completely green.
 
Subiri Meli Airport sisi tunaenda na Lissu...msitupangie
Wenye maamuzi ni wenyeviti wa vyama hivyo ( Seif na Mwamba) kwa niaba ya vyama vyao. Lissu kama alivyokuwa Silaa kipindi hicho ni nobody na hapaswi kubwabwaja! Apende asipende hayamuhusu. Swali ni jee atatimukia Ubeligiji kama alivyotimukia Canada mtangulizi wake kwa kutokubaliana na maamuzi ya wenye vyama kumuweka Membe kuwa mgombea wao wa uraisi?

NB: Brnard Membe is of course a more presidential material than Tundu Lissu. Atavuna kura nyingi zaidi na kuongeza ruzuku kwa vyama hivi. He is more physically and mentally more fit than Tundu Lissu. He is a diplomat while Tundu is a mere activist.
 
Wakati ule wa UKAWA makubaliano yalikuwa rahisi sababu Chadema ilikuwa very powerful tofauti na sasa ambapo majimbo mengi yapo rehani huku ACT ikiwa na dalili zote za kuwa main opposition.

Hapa ni Chadema kushuka na kukubali 50/50 na ACT ili waunganishe nguvu yenye tija au wakubali kucheza kamari ya kwenda pekee yao na kugawana kura na Membe mwenye backup ya Zitto.
Teh teh teh roho inakuuma sana dhidi ya CDM... siku zote unatamani kuiona CDM ikianguka lkn hilo halitokaa litokee.

Nakufananisha na mwanamke aliyeachika anayeombea na kutamani Anguko la X wake kila uchao but kila akiona kwa X kunapendeza tu roho inamuuma.
 
Mazungumuzo yanaendelea kati ya ACT-Wazalendo na CHADEMA kuweka mgombea mmoja wa urais ili kuongeza nguvu ya ushawishi wa kuing'oa CCM madarakani.

Sasa jee ikitokea vyama hivyo viwili vikaamua kumuweka Membe kuwa mgombea wao kwa nafasi ya Urais kwa manufaa ya vyama vyao, Tundu Lissu hatafanya kama alichofanya Dkt. Silaa mwaka 2015? Dr Silaa alitimukia Canada. Jee Tindu Lissu atatimukia wapi? Ubelgiji? Maana yeye tayari alishasema hatakubali.

Kwa kweli yajayo yanafurahisha.

Maalim Seif amtwisha Mbowe mzigo wa ushirikiano, yeye amjibu
Haitokei kamwe ccm jiandaeni kuanguka.
 
Mazungumuzo yanaendelea kati ya ACT-Wazalendo na CHADEMA kuweka mgombea mmoja wa urais ili kuongeza nguvu ya ushawishi wa kuing'oa CCM madarakani.

Sasa jee ikitokea vyama hivyo viwili vikaamua kumuweka Membe kuwa mgombea wao kwa nafasi ya Urais kwa manufaa ya vyama vyao, Tundu Lissu hatafanya kama alichofanya Dkt. Silaa mwaka 2015? Dr Silaa alitimukia Canada. Jee Tindu Lissu atatimukia wapi? Ubelgiji? Maana yeye tayari alishasema hatakubali.

Kwa kweli yajayo yanafurahisha.

Maalim Seif amtwisha Mbowe mzigo wa ushirikiano, yeye amjibu
Mgombea kiti cha Rais hufanyiwa utafiti na chadema
 
Kwa Hotuba ya Leo Lissu nina amini hata huyo Membe huko alipo amepiga saluti amekuna kichwa na amekubali kama ana nia kweli ya dhati..na kule Magogoni leo kitanda hakilaliki kwa Mawazo na maumivu.
Kule ametumwa messenger Slow slow kujibu mapigo, inaelekea serikali nzima inamjadili na kumfuatilia Tundu Lissu.

Wakimpitisha Membe watakua wamempa ahueni Magufuli.
 
Kule ametumwa messenger Slow slow kujibu mapigo, inaelekea serikali nzima inamjadili na kumfuatilia Tundu Lissu.

Wakimpitisha Membe watakua wamempa ahueni Magufuli.

Zamani kabla kabla Magufuli hajaikamata serikali kikamilifu sio leo, 2020. (KWA TAFSIRI YA KISIASA NA KWA MANENO YA MTAANI ) Tundu Lissu binti tuu,kwa Tundu Lissu leo hamna ukamamnda, hata kumwita mgambo mtampa heshima asiyo stahili. Lissu hapo ni mdada tuu tena wakukoleza wanja
 
Wenye maamuzi ni wenyeviti wa vyama hivyo ( Seif na Mwamba) kwa niaba ya vyama vyao. Lissu kama alivyokuwa Silaa kipindi hicho ni nobody na hapaswi kubwabwaja! Apende asipende hayamuhusu. Swali ni jee atatimukia Ubeligiji kama alivyotimukia Canada mtangulizi wake kwa kutokubaliana na maamuzi ya wenye vyama kumuweka Membe kuwa mgombea wao wa uraisi?

NB: Brnard Membe is of course a more presidential material than Tundu Lissu. Atavuna kura nyingi zaidi na kuongeza ruzuku kwa vyama hivi. He is more physically and mentally more fit than Tundu Lissu. He is a diplomat while Tundu is a mere activist.
Mlimpigania sana Nyalandu kwa sifa kemkem kwamba yeye ni Presidential zaidi kuliko Lissu lakini wanachadema na wananchi wakawakatalia na kumpendekeza Lissu.
Sasa mnakuja na Membe sasa hivi na mtashindwa.
Mngejua wapinzani sio wajinga kudhani ushauri wenu una nia nzuri
 
Wakati ule wa UKAWA makubaliano yalikuwa rahisi sababu CHADEMA ilikuwa very powerful tofauti na sasa ambapo majimbo mengi yapo rehani huku ACT-Wazalendo ikiwa na dalili zote za kuwa main opposition.

Hapa ni CHADEMA kushuka na kukubali 50/50 na ACT-Wazalendo ili waunganishe nguvu yenye tija au wakubali kucheza kamari ya kwenda pekee yao na kugawana kura na Membe mwenye backup ya Zitto.
Membe hakujiandaa kama Lowassa ndiyo maana hata kule Mtama ameshindwa kuisambaratisha CCM. Lissu pekee tayari ameshaonyesha kuwa kwa kanda ya kati tu CCM iliyokuwa ngome yake si ngome tena.
 
Back
Top Bottom