Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Umepata rafiki mtandaoni, kama hapa JF, wote mkashare mambo yenu mengi tena ya ndani kabisa ambayo inawezekena huyo rafiki ndio pekee amepata bahati ya kuyafamu.
Umemueleza kila kitu, na kweli tupu, kwa mfano, namna ambavyo mahusiano yako ya nyuma yalivyoharibika, jinsi ulivyoumia au kukiri pale ambapo wewe ndio ulikuwa sababu ya matatazo, na kwa namna ya kipekee kabisa kuelezea namna ulivyomuhitaji wa mapenzi, tena unampromise rafiki huyo kwamba Kama ni Mungu ndio ameamua kuwakutanisha mtandaoni ili kuziba upweke uliomo katika maisha yako basi unaahidi kuwa Muaminifu kwake maisha yako yote hapa duniani n.k. n.k n.k
alafu baada ya muda mrefu sana wa mahusiano hayo ya kidigital na kiroho tuuu, siku mmeamua kukutana kwa ajiri ya kuofficiate mapenzi yenu, unakuta ni mke/mme wako ambaye mlifikia hatua ya kuvunja ndoa yenu kwa sababu mlizodai kwamba hazirekebishiki ila divorce ndio the divine decision.
utafanyaje??
Umemueleza kila kitu, na kweli tupu, kwa mfano, namna ambavyo mahusiano yako ya nyuma yalivyoharibika, jinsi ulivyoumia au kukiri pale ambapo wewe ndio ulikuwa sababu ya matatazo, na kwa namna ya kipekee kabisa kuelezea namna ulivyomuhitaji wa mapenzi, tena unampromise rafiki huyo kwamba Kama ni Mungu ndio ameamua kuwakutanisha mtandaoni ili kuziba upweke uliomo katika maisha yako basi unaahidi kuwa Muaminifu kwake maisha yako yote hapa duniani n.k. n.k n.k
alafu baada ya muda mrefu sana wa mahusiano hayo ya kidigital na kiroho tuuu, siku mmeamua kukutana kwa ajiri ya kuofficiate mapenzi yenu, unakuta ni mke/mme wako ambaye mlifikia hatua ya kuvunja ndoa yenu kwa sababu mlizodai kwamba hazirekebishiki ila divorce ndio the divine decision.
utafanyaje??