Ikifika 40 years kama hujafanikiwa ni ngumu kutoka...

age and money do not match and all I can say is that as much as each and every one of us has a right to an opinion or expression, I think that topic is suited for facebook not jamii forum.great thinkers discuss great issues that could one day propel this nation to a wise height. tuache story za kahawa.
 
ndugu yangu kama kufanikiwa nikuwa tajiri kuna source nyingi sana za kupata utajiri!
  • self made( mtu yeyote anaweza kujituma akazipata haijarishi umri)
  • illegal(mtu wa umri wowote anaweza akafanya illegal deal akatoka)
  • inheritance( ata mtu wa miaka hamsini anaweza kurithi mali za nduguze akawa tajiri)
  • luck( babu wa miaka sabini anaweza akacheza michezo ya kubahatisha,kamari akawa tajiri)
  • talent( mungu anatoa kwa wote haina umri hiyo kama kuwa musician,commedian etc)
sasa mpendwa umeshaona weakness ya point zako

ila kwangu mimi binafsi mafanikio nikuwa na amani moyoni! ndio kitu muhimu sana,sijui kwa wengine ngoja tusubiri waje wajuaji watatujuza vizuri
Lakin by comparison between two group,vingi ulivyotaja apo juu utokea kwa watu below 40,
kujituma ka kufanya kazi kwa inaitaji nguvu ambazo wengi in below 40
illegal kama vile majambazi wengi ni vijana ambao ni below 40,
Ata kurithi wengi wanaopata ni vijana below 40,wazee wengi ufariki na kuacha vijanawao watakaorithi mali zao kabla ya 40
Kuhusu luck,yaani bahati kama vile kucheza kamari,apa utawakuta kwa wingi vijana below 40,nenda csssino ukashuhudie ingawa pia wazee pia wamo
Kuhusu talent apo ndipo patamu,wachezmpira,wakimbiaji,rugby,basketball,musician,movie star,etc 99% ni below 40.Kama yupo above 40 utakuta alianza carrier yake akiwa belowa 40 na most of them wakiwa na umri wa 20s
MESSI,RONEY,CR7,BEYONCE,KOBE BRYANT,LADY JAYDetc
 
age and money do not match and all I can say is that as much as each and every one of us has a right to an opinion or expression, I think that topic is suited for facebook not jamii forum.great thinkers discuss great issues that could one day propel this nation to a wise height. tuache story za kahawa.
Kama huna popote tuliam,mbona watu kibao wamechangia poin nzuri sana tena na za kujenga,kwa iyo wao ni wapuuzi.Mi naona huna jipya we kilaza tu
 
Hivi inaweza kuwa kweli ukifika umri wa 40,na hakijaelweka(kufanikiwa kimaisha) ni ngumu kufanikiwa(utajiri) baada ya apo?karibuni kushare .

Mchungaji mwasapila wa kule Loliondo ni vipi? naona amefanikiwa uzeeni, hilo halina ukweli.
 
Kama huna popote tuliam,mbona watu kibao wamechangia poin nzuri sana tena na za kujenga,kwa iyo wao ni wapuuzi.Mi naona huna jipya we kilaza tu
Umeona eeh! Huyo lazima atakua kula kulala ndio maana hataki kusikia habari hizi.
 
kwangu mimi umri sio issue, unaweza kuwa tajiri au kufanikiwa kwa umri wowote ule kama una "determination",kama unajua unataka nini, unaweza kufika, changamoto ni hofu iliyowekwa na jamii kuwa after 40 ni ngumu kufanikiwa ambayo inaleta frustration na regreat bila sababu.hiyo theory kwangu naona haina Mashiko sana
 
Najihisi nina mafanikio hata kama 40 haijafka, ingawa cna gari,Kiwanja,n.k.Nina Elimu ya kutosha,nategemea kuoa,Nina Amani tele mwoyoni,Nna maisha ya Kawaida na ninafight niongezee mafanikio zaidi.Utajiri kama utakuja nitaupokea lakn ctaki wa kulazimisha,mf.kwenda kwa ...(KWANI KUNA HAJA GANI YA KUWA NA MAGARI AFU UNALALA CHINI,UNATEMBEA KWA MGUU,UNA NYUMBA LAKNI UNALALA NJE UNANYESHEWA MVUA?N.K)Namshkuru Mungu nna mafanikio.Kwa hyo 40 yrz bado sana.Mimi babu yangu ana 90yrz hana gari lakn mpaka sa izi ukimuliza anasema nna ndoto za kununua gari kabla cjafa.Do you see?Piga kazi,uckate tamaa,mwombe Mungu na ujipe matumaini hata kama uko beyond 40 unatoka.
 
Hapa inaonesha kuwa mleta mada ameshakata tamaa hata kabla ya wakati. Utajiri na umri havina uhusiano bali ni mikakati ya wakati uliopo na nafasi uliyonayo kwa wakati huo.
Usitafute mali kwa kukimbizana na umri, matokeo yake utajikuta ume-score 0+
 
ndugu yangu kama kufanikiwa nikuwa tajiri kuna source nyingi sana za kupata utajiri!
  • self made( mtu yeyote anaweza kujituma akazipata haijarishi umri)
  • illegal(mtu wa umri wowote anaweza akafanya illegal deal akatoka)
  • inheritance( ata mtu wa miaka hamsini anaweza kurithi mali za nduguze akawa tajiri)
  • luck( babu wa miaka sabini anaweza akacheza michezo ya kubahatisha,kamari akawa tajiri)
  • talent( mungu anatoa kwa wote haina umri hiyo kama kuwa musician,commedian etc)
sasa mpendwa umeshaona weakness ya point zako

ila kwangu mimi binafsi mafanikio nikuwa na amani moyoni! ndio kitu muhimu sana,sijui kwa wengine ngoja tusubiri waje wajuaji watatujuza vizuri

Mkuu umetoa point nzuri. Ni kwa jinsi ulivyochambua ndio unaweza kujadili.

Na infact ukiondoa utajiri unaokuja kama mvua mfano utajiri wa kurithi au bahati, utajiri unaokuja kwa juhudi binafsi za kihalali ni vigumu kuupata kabla ya miaka 40. watu wengi ili kupata utajiri Wa halali hupitia mchakato ambao huhitaji juhudi na maarifa pamoja na uvumilivu na hatimaye hufanikiwa baada ya muda mrefu na mara nyingi wanakuwa na zaidi ya miaka 40.

Ni watu wachache sana wanapata utajiri wakiwa na umri mdogo na hapa za Tanzania wengi wao ni watoto wa mafisadi. Ila utajiri wa aina hii kama ulivyokuja haraka huyeyuka haraka.
 
Hivi inaweza kuwa kweli ukifika umri wa 40,na hakijaelweka(kufanikiwa kimaisha) ni ngumu kufanikiwa(utajiri) baada ya apo?karibuni kushare .

Hapo napo bado pana shida kidogo, kwenye huo huo utajiri, kila mtu anautafsiri utajiri kwa namna yake kutokana na mazingira aliyonayo. Generally speaking utajiri ni how much?
 
Najihisi nina mafanikio hata kama 40 haijafka, ingawa cna gari,Kiwanja,n.k.Nina Elimu ya kutosha,nategemea kuoa,Nina Amani tele mwoyoni,Nna maisha ya Kawaida na ninafight niongezee mafanikio zaidi.Utajiri kama utakuja nitaupokea lakn ctaki wa kulazimisha,mf.kwenda kwa ...(KWANI KUNA HAJA GANI YA KUWA NA MAGARI AFU UNALALA CHINI,UNATEMBEA KWA MGUU,UNA NYUMBA LAKNI UNALALA NJE UNANYESHEWA MVUA?N.K)Namshkuru Mungu nna mafanikio.Kwa hyo 40 yrz bado sana.Mimi babu yangu ana 90yrz hana gari lakn mpaka sa izi ukimuliza anasema nna ndoto za kununua gari kabla cjafa.Do you see?Piga kazi,uckate tamaa,mwombe Mungu na ujipe matumaini hata kama uko beyond 40 unatoka.

"Uniondolee ubatili na uongo, Usinipe umasikini wala utajiri, Unilishe chakula kilicho kadri yangu, Nisije nikashiba, nikakukana, Nikasema Bwana ni nani? wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Bwana Mungu wangu."
Mit. 30:8-9.
 
basi tukubalie ya kwamba atleast dalili za kuwa na utajiri(mali,fedha) huanza kuonekana before 40,kwa tajiri wengi ambao ni above 40 mafanikio yalianza wakiwa below 40
 
Aaah, kama upo bongo unaweza kukutana na mafuriko ya fweza ukalala maskini ukaamka tajiri. Mbona kina EL wamekumbana nazo umri umesonga?

Mkuu unamjua EL au unamsikia tu redioni?

EL ni bepari kitambo, miaka 30 iliyopita EL tayari alikuwa na vijisenti mkuu!

HUjiulizi kwanini Baba wa Taifa alimkataa EL mwaka 1995? Mwl. Nyerere mwenyewe alikuwa anajua, by then, kuwa EL ni don mjini!
 
Nani amesema hayo? Kwangu mimi ni self belief tu. Ukiamua kufanikiwa utaweza kufanikiwa. Mwisho wa siku ni akili yako unaitumiaje kwa wakati huo....just out of curiosity, kwani Mengi na Mzee Ndesamburo wameanza kufanikiwa lini?

Mkuu tafuta mifano mingine, Ndesambulo na Mengi walikuwa na maisha kitambo sana hata kabla hawaja hit 30 yrs of age!

Au kuna Mengi mwingine unamzungumzia apart from huyu partner PWC London?
 
Babu wa Loliondo amepata mafanikio ya pesa akiwa over 60 years?

Mpaka serikali ikamtengenezea barabara mpaka Loliondo ili awe anaendesha Land Cruser yake vizuri.

Ukiwa mbunifu unaweza kufanikiwa hata ukiwa na miaka 90 kiongozi.
 
Back
Top Bottom