Nimekuwa specific kwa utajiri tu.Kufanikiwa kunajumuhisha mambo mengi ila nimelenga kipengele kimoja tu cha utajir.hivi kufanikiwa ni lazima mtu kuwa tajiri?
alafu nitarudi baada ya kujibiwa
kama una mawazo mgando! mafanikio ni pesa pekee.obama wa bongo,,,,, mafanikio ni pesa kaka we ni ushafika umri huo afu kiza nini mbona wa krash bila hoja
Hivi inaweza kuwa kweli ukifika umri wa 40,na hakijaelweka(kufanikiwa kimaisha) ni ngumu kufanikiwa(utajiri) baada ya apo?karibuni kushare .
hapa bongo mtu mwenye form iv au std 7 akiwa na TOYOTA Opa na kupanga upande mzima wa nyumba plus flat screen anakuwa amepass kuwa na mafanikiohivi kufanikiwa ni lazima mtu kuwa tajiri?
alafu nitarudi baada ya kujibiwa
Waaacha wewe!!ina maana mwaka huu ndio mwisho nijihesabu nimeshafuliaaa????yeleuwiiiii kya mana kyamng'anyia kya wamae lanywe!!!!Hivi inaweza kuwa kweli ukifika umri wa 40,na hakijaelweka(kufanikiwa kimaisha) ni ngumu kufanikiwa(utajiri) baada ya apo?karibuni kushare .
ndugu yangu kama kufanikiwa nikuwa tajiri kuna source nyingi sana za kupata utajiri!Nimekuwa specific kwa utajiri tu.Kufanikiwa kunajumuhisha mambo mengi ila nimelenga kipengele kimoja tu cha utajir.
hapa bongo mtu mwenye form iv au std 7 akiwa na TOYOTA Opa na kupanga upande mzima wa nyumba plus flat screen anakuwa amepass kuwa na mafanikio
Hata biblia imesema "wazee" wataota ndoto na "vijana" wataona maono.Umri wa maono ya kufanikiwa
ukishapita kinachobaki ni kuota ndoto tu za kufanikiwa wakati umeshachelewa.