Ikifika 40 years kama hujafanikiwa ni ngumu kutoka...

Aaah, kama upo bongo unaweza kukutana na mafuriko ya fweza ukalala maskini ukaamka tajiri. Mbona kina EL wamekumbana nazo umri umesonga?
wewe EL alikuwa tajiri kuanzia miaka ya 80s akiwa na umri wa 3os,
 
Nani amesema hayo? Kwangu mimi ni self belief tu. Ukiamua kufanikiwa utaweza kufanikiwa. Mwisho wa siku ni akili yako unaitumiaje kwa wakati huo....just out of curiosity, kwani Mengi na Mzee Ndesamburo wameanza kufanikiwa lini?
Lakini kwa experince yako unazani wengi wanafanikiwa wakiwa above or below 40?
 
Hivi inaweza kuwa kweli ukifika umri wa 40,na hakijaelweka(kufanikiwa kimaisha) ni ngumu kufanikiwa(utajiri) baada ya apo?karibuni kushare .

Ni kweli mafanikio katika maisha yako mengi. Ahsante kwa kuwa katika hili wewe umekuwa specific na ume focus kwenye utajiri na nahisi ni utajiri wa mali.

Utajiri wa mali ni relative term. Hakuna distinct line ya utajiri na umaskini na wala kipimo cha utajiri wa mali si kimoja. Utajiri wa mali unategemea sana na vision ya mtu katika maisha. Unahitaji uwe na nini ili uone kwamba uko satisfied kiasi kwamba sasa huna hitaji litakalokusumbua kulikidhi.

Mtu mmoja akipata nyumba yenye sakafu ya marumaru na choo cha maji ndani, na gari dogo na tractor la kulimia, huyo mtu hahitaji zaidi na atajulikana hata tabia zake zilizofichika. Wakati huo huo mtu mwingine ana miliki estates za mansions na ana boats, na ndege, bado anahitaji kumiliki visiwa katika kila continent na ikiwezekana hata afuge na viumbe wanaoishi katika sayari zingine.

Wakati hayo yote yanaweza kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na jitihada ama fursa anazobahatika mtu kuzipata, bado zinahitaji kuunganishwa na uwezo wa mazingira yake ili ziweze kuleta satisfaction. Kunahitajika conducive macro na micro environments kama vile political stability, responsive social and economic policies, supportive ecological and geographical conditions.

Ni kweli umri kama miaka inanafasi yake katika uwezo wa mtu ku pursue life visions lakini miaka arobani siyo kigezo. Inahitajika mtu awe na afya njema ya mwili, akili, nafsi na roho kitu ambacho kinamahitaji yake mengine zaidi ya miaka ya kuishi.

Mtu wa miaka sitini akiwa na positive mental, spiritual and physical health anaweza kuwa na uwezo mkubwa wa kufacilitate mafanikio ya malengo yake zaidi ya kijana mwenye miaka 30 ambaye ana ill health. Lakini pia anaweza ku-recover katika umri mkubwa zaidi ya 40 na akafanya zaidi ya muda wake wa utoto.

Kwa hiyo kijana usiogope umri. Fanya mambo yako kwa malengo na speed ndiyo huku ukilinda na kutunza afya yako. Lakini pia, chagua CDM itakayokujengea mazingira sahihi ya kufanikisha malengo yako. Na si ccm inayodumaza kwa huduma mbovu na udanganyifu.

Tuko pamoja.
 
  • Thanks
Reactions: WFM
Aaah, kama upo bongo unaweza kukutana na mafuriko ya fweza ukalala maskini ukaamka tajiri. Mbona kina EL wamekumbana nazo umri umesonga?

Mkuu kwa taarifa yao EL utajiri wake hujaanza leo wala jana na ndio maana dhaifu alivyokuwa anamtetea ikulu anasema kuwa zamani dhaifu alikuwa anakwenda kwa kina ma mvi akawa anashangazwa na utajiri wa baba yake mamvi ikumbukwe urafiki wa dhaifu na ma mvi haujaanza leo wala jana...
Ilamtoka enzi na enzi ma mvi alikuwa anajiweza na ndio ulikuwa ugomvi mkubaa kati ya mamvi na mzee kifimbo nyerere
 
Ni kweli mafanikio katika maisha yako mengi. Ahsante kwa kuwa katika hili wewe umekuwa specific na ume focus kwenye utajiri na nahisi ni utajiri wa mali.

Utajiri wa mali ni relative term. Hakuna distinct line ya utajiri na umaskini na wala kipimo cha utajiri wa mali si kimoja. Utajiri wa mali unategemea sana na vision ya mtu katika maisha. Unahitaji uwe na nini ili uone kwamba uko satisfied kiasi kwamba sasa huna hitaji litakalokusumbua kulikidhi.

Mtu mmoja akipata nyumba yenye sakafu ya marumaru na choo cha maji ndani, na gari dogo na tractor la kulimia, huyo mtu hahitaji zaidi na atajulikana hata tabia zake zilizofichika. Wakati huo huo mtu mwingine ana miliki estates za mansions na ana boats, na ndege, bado anahitaji kumiliki visiwa katika kila continent na ikiwezekana hata afuge na viumbe wanaoishi katika sayari zingine.

Wakati hayo yote yanaweza kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na jitihada ama fursa anazobahatika mtu kuzipata, bado zinahitaji kuunganishwa na uwezo wa mazingira yake ili ziweze kuleta satisfaction. Kunahitajika conducive macro na micro environments kama vile political stability, responsive social and economic policies, supportive ecological and geographical conditions.

Ni kweli umri kama miaka inanafasi yake katika uwezo wa mtu ku pursue life visions lakini miaka arobani siyo kigezo. Inahitajika mtu awe na afya njema ya mwili, akili, nafsi na roho kitu ambacho kinamahitaji yake mengine zaidi ya miaka ya kuishi.

Mtu wa miaka sitini akiwa na positive mental, spiritual and physical health anaweza kuwa na uwezo mkubwa wa kufacilitate mafanikio ya malengo yake zaidi ya kijana mwenye miaka 30 ambaye ana ill health. Lakini pia anaweza ku-recover katika umri mkubwa zaidi ya 40 na akafanya zaidi ya muda wake wa utoto.

Kwa hiyo kijana usiogope umri. Fanya mambo yako kwa malengo na speed ndiyo huku ukilinda na kutunza afya yako. Lakini pia, chagua CDM itakayokujengea mazingira sahihi ya kufanikisha malengo yako. Na si ccm inayodumaza kwa huduma mbovu na udanganyifu.

Tuko pamoja.
Mkuun umetisha,uchambuzi wa kisayansi
 
Life begins at 40,mwisho wakupata mafanikio Yako ni umeingia kaburini mkuu!so just continue being determined and working hard ili update vyahalali tu......
 
Ina maana wote waliaonza VITA KUU YA MAFANIKIO YAO BAADA YA UMRI ULIOTAJA KUWA LIMIT, NA WAKAFANIKIWA tuwachukulie kama utani ????? AU WEWE WAAMINI UKIVUKA MIAKA HII UJIANDAE KUFA????

Kuna mifano mingi sana ya ZAIDI YA UMRI ULIOTANGAZA (kwa nukuu zako) ambazo wahusika wamefanikiwa na kuwa mifano ya MAANA kwa VIJANA WAPYA WAJASIRIAMALI.................TAFAKARI KWA UKWELI WA MAZINGIRA YAKO BADALA YA KUWA CHIRIKU..............
 
Babu wa loliondo alizurumiwa na wajanja hivyo hakufanikiwa
 
Na unaweza kuniambia mtu yeyote ambaye alishakuwa tajiri under the age of 40 ikiwa urithi wake sio wa kurithi?

Muondoe exceptional Bill Gates na founder wa FB
 
Hivi inaweza kuwa kweli ukifika umri wa 40,na hakijaelweka(kufanikiwa kimaisha) ni ngumu kufanikiwa(utajiri) baada ya apo?karibuni kushare .

mbona Bibi Cheka kafanikiwa kutoka akiwa na umri wa miaka 55 na anapiga show balaa tena za milion
 
Back
Top Bottom