KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Yussuf Mehoob Manji (Mwenyekiti), Clement Sanga (Makamu Mwenyekiti) na Wajumbe Mussa Katabaro, Lameck Nyambaya, Abdallah Bin Kleb na George Manyama.
Rais wa Yanga Yusuf Manji akitoa Shukrani |
Nyambaya kulia, Manji katikati na sanga kushoto |
Davis Mosha alikuja na gari hii, yenye thamani ya Sh. Bilioni 1. Hakuna mtu mwingine yeyote Tanzania mwenye gari hii. Na hadi sasa marekani kwenyewe anayo P Diddy tu. |
: |