Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Tokea mwaka 1958 sudan yameshatokea majaribio almost 36 ya kupindua serekali kwa lugha nyepesi sudan ni moja ya nchi ngumu sana kuiongoza afrika
Mwanzon wa miaka ya 2000 kulikua na vuguvugu la waasi darfur rais wa wakati huo omar al bashir alianzisha janjaweed ambao ni kama kikosi maalumu kwa ajili ya kupigana na waasi wa darfur kumbuka janjaweed ni sehemu iliyotolewa kwenye jeshi la sudan na ilikua ikiongozwa na hemedti
Janjaweed ambao baade ndo ikaja badilisha jina na kuitwa rapid support force walikua na kazi ya kuwadhibiti waasi wa darfur na kulinda mipaka ila baadae walianza kufanya biashara zenye ela kama kuuza silah, gold na kushiriki kama mamluki kutoka na hii ilipelekea kiongozi wao hemedti kuwa na ukwasi wa kutosha vyanzo vingine vinasema ni billionaire
Vuguvugu la sudan kusin lilishika hatama na mwaka 2011 wakapata uhuru hii ilikuwa pigo kubwa kwa sudan sababu asilimia 75 ya visima vya mafuta vilienda sudan kusin ambayo ni nchi mpya huku sudan imibakiwa tu na asilimia 25 ya visima vya mafuta
Hali ya uchumi sudan haikua nzuri tena ilikua mbaya na mnamo mwaka 2019 kiongozi wa janjaweed ambayo baade ilijulikana kama rapid support force aliungana na kiongozi wa jeshi wa sudan al burhan wakampindua al bashiri
Baada ya kumpindua al bashiri ikabid hao makanda wawil wahandover madaraka kwa kiongozi wa kiraia, tatizo lilianza pale al burhan alipotaka rapid support force iwe integrate na jeshi la sudan mapendekezo haya yalipingwa vikali sana na hemedti sababu uwepo wa rapid support force ulimfanya kuuza silaha, gold na kupeleka wanajeshi kupigana kama mamluki kwenye nchi kama yemen, libaya n.k kote huko alikua anapata ela nyingi kwa hiyo ilimfanya kuwa tajiri sana sasa kuja kumwambia rapid support force ife ni sawa na kumwagia kitumbua mchanga
Baada ya hiyo sintofahamu ndo ilapelekea power struggle kati ya al burhan na hemedti na matokeo yake vita ambavyo tunaviona leo matokeo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ni matoke ya legacy ya al bashiri
Mwanzon wa miaka ya 2000 kulikua na vuguvugu la waasi darfur rais wa wakati huo omar al bashir alianzisha janjaweed ambao ni kama kikosi maalumu kwa ajili ya kupigana na waasi wa darfur kumbuka janjaweed ni sehemu iliyotolewa kwenye jeshi la sudan na ilikua ikiongozwa na hemedti
Janjaweed ambao baade ndo ikaja badilisha jina na kuitwa rapid support force walikua na kazi ya kuwadhibiti waasi wa darfur na kulinda mipaka ila baadae walianza kufanya biashara zenye ela kama kuuza silah, gold na kushiriki kama mamluki kutoka na hii ilipelekea kiongozi wao hemedti kuwa na ukwasi wa kutosha vyanzo vingine vinasema ni billionaire
Vuguvugu la sudan kusin lilishika hatama na mwaka 2011 wakapata uhuru hii ilikuwa pigo kubwa kwa sudan sababu asilimia 75 ya visima vya mafuta vilienda sudan kusin ambayo ni nchi mpya huku sudan imibakiwa tu na asilimia 25 ya visima vya mafuta
Hali ya uchumi sudan haikua nzuri tena ilikua mbaya na mnamo mwaka 2019 kiongozi wa janjaweed ambayo baade ilijulikana kama rapid support force aliungana na kiongozi wa jeshi wa sudan al burhan wakampindua al bashiri
Baada ya kumpindua al bashiri ikabid hao makanda wawil wahandover madaraka kwa kiongozi wa kiraia, tatizo lilianza pale al burhan alipotaka rapid support force iwe integrate na jeshi la sudan mapendekezo haya yalipingwa vikali sana na hemedti sababu uwepo wa rapid support force ulimfanya kuuza silaha, gold na kupeleka wanajeshi kupigana kama mamluki kwenye nchi kama yemen, libaya n.k kote huko alikua anapata ela nyingi kwa hiyo ilimfanya kuwa tajiri sana sasa kuja kumwambia rapid support force ife ni sawa na kumwagia kitumbua mchanga
Baada ya hiyo sintofahamu ndo ilapelekea power struggle kati ya al burhan na hemedti na matokeo yake vita ambavyo tunaviona leo matokeo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ni matoke ya legacy ya al bashiri