Ijue sababu ya Benard Membe kukataa katakata kutumika chini ya utawala wa Magufuli

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Wakati wa utawala wa JK, aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndugu Benard Membe alikuwa akipinga waziwazi hatua za aliyekuwa waziri mwenzake ambaye sasa ni rais ndugu John Pombe Magufuli dhidi ya makampuni mbalimbali ya kimataifa. Miongoni mwa hatua hizo zilikuwa zikiangaliwa na bwana Membe kama kichocheo cha uhasama kati ya Tanzania na mataifa mengine.

Hali hiyo ilifanya mawaziri hao kuwa na tofauti za waziwazi kwani Membe alikuwa akipinga kuharibiwa kwa diplomasia ya nchi kutokana na hatua hizo ikiwemo kusitisha mikataba ya kazi kienyeji. Hali hiyo ilifanya wawili hao kutokuwa na uhusiano mzuri na hadi sasa wako hivyo. Katu hakuna ushirikiano wowote anaotoa ndugu Membe kwa utawala huu wa Magufuli ingawa anaelewa vyema mambo mengi ya nchi yetu dhidi ya mataifa ya nje.

Je Membe alikuwa sahihi? Vipi matokeo yake kwa sasa?
 
Tumwache Mhe ale Pensheni akimaliza atakuja kutuambia sasa mtu anakula tusimsemeshe please ngoja pensheni iishe 22025 utamsikia na 2020 atatubeep
 
Muda ndo kila kitu katika maisha kwasababu kila kitu kina muda wake. Huwezi kutegemea kila siku iwe kama leo... never.
 
Katu hakuna ushirikiano wowote anaotoa ndugu Membe kwa utawala huu wa Magufuli ingawa anaelewa vyema mambo mengi ya nchi yetu dhidi ya mataifa ya nje.

Je Membe alikuwa sahihi? Vipi matokeo yake kwa sasa?

Sikubaliani kabisa na foreign policy agenda ya Magufuli na ni mpinzani mkubwa wa siasa zake kwa ujumla lakini kitu kisichopingika ni kwamba Magufuli alishinda the mandate to imprint his foreign policy agenda as president of the republic na hana haja ya kupata msaada wa Membe.

Membe “anaelewa vyema mambo mengi ya nchi yetu dhidi ya mataifa ya nje” lakini si lazima tuendelee na uelewa wa Membe milele. Huo ni uelewa wake yeye. Plain and simple.
 
Tumwache Mhe ale Pensheni akimaliza atakuja kutuambia sasa mtu anakula tusimsemeshe please ngoja pensheni iishe 22025 utamsikia na 2020 atatubeep
Pensheni anayolipwa ni ndogo sana kama tone baharini ukilinganisha na hela aliyoiba. Hili limembe jizi sana. Siyo eti hataki kasusa kushiriakana kanyamazishwa akijidai kuongea tu atakiona kumbuka kalamba 20m $ pia hela za ghadafi pia ni yeye aliyekuwa anawasambazia halotel mafuta bila kodi. Huko wizarani kwa mahiga kalamba sana.

Kalamba sana hela za Dangote kumleta Tanzania

Nilikutana na mfanyakazi wa ubaloz wetu Sweden 2015 akanisimulia kuhusu hili joka la midimu yani acha tu. Linabahati wezi wenzake ni watawala
 
Back
Top Bottom