Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 1,706
- 8,686
👏🏻👏🏻👏🏻Wasaalam.
MTAKUWWA kirefu chake ni Mpango Kazi wa Taifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (wa kike na kiume).
Awamu ya kwanza ulikuwa 2017/18-2021/22.
Awamu ya 2 ni 2024/25-2028/29 ambapo, tulizindua tarehe 15 Mei, 2029.
Kwa kifupi, ziko Kamati za Ulinzi wa Wanawake na Watoto kuanzia ngazi ya Kijiji, Mtaa, Kata, Halmashauri, Mkoa hadi Taifa. Kwenye ngazi ya Kijiji, Mtaa na Kata, wajumbe ni pamoja na wananchi yaani jamii.
Aidha, kamati imesheheni wadau wa sekta zote ikiwa ni pamoja na sekta binafsi, NGOs, viongozi wa kidini, watu maarufu wanaoheshimika na wenye msaada kwenye jamii, wawakilishi wa makundi ya kijamii wakiwemo vijana, wenye ulemavu, watoto, wanawake (kifupi makundi yote yamewakilishwa) (mpango utapandishwa online tutatangaza).
Katika kuongeza Kasi ya utekelezaji na elimu kwa jamii ili jamii imiliki programu hii na kushirikiana na Serikali, kesho tutakuwa na ziara ya baadhi ya mawaziri wa kisekta katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam ambapo, tutafuatilia hali ya utekelezaji, kupokea changamoto na kubadilishana maoni na wananchi Ili kuendelea kujenga kwa uimara zaidi kamati hizi.
BAADHI ya malengo mahsusi ya ZIARA YA 27 JULAI, 2024.
1. Kujionea mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Kamati za MTAKUWWA pamoja na kupokea maoni na kutoa mwelekeo.
3. Kuinua sauti kuhusu nafasi ya jamii kwenye utekelezaji wa MTAKUWWA kwani Wananchi wawakilishi wa jamii ni Wajumbe wa Kamati hii.
MATARAJIO YA ZIARA;
1. Mafanikio yanatambuliwa na changamoto zinatambuliwa na mwelekeo mpya unatolewa.
2. Wananchi wengi zaidi wanapata elimu kuhusu nafasi yao kwenye utekelezaji wa MTAKUWWA kama wajumbe wa Kamati.
3. Wananchi wanaongeza Kasi ya ushiriki wao na mchango wao kwenye utekelezaji wa Kamati.
4. Ulinzi wa Wananawake na Watoto unaimarika kuanzia ngazi ya Mtaa, Kijiji na Kata kwa wananchi kushirikiana na Serikali kwa kasi zaidi
5. Nchi nzima inaongeza Kasi zaidi ya utekelezaji wa MTAKUWWA hivyo, Kasi ya udhibiti wa ukatili wa kijinsia na kwa watoto inaongezeka.
ZIARA itaendelea nchi nzima.🇹🇿
Kwa pamoja, Serikali na Wananchi, tunatekeleza na mwisho tutakuwa na upimaji endelevu wa ufanisi na utambuzi kulingana na ufanisi Ili kuchochea zaidi hamasa na ushirikiano kwenye utekelezaji wa mpango huu.
Elimu itaendelea kutolewa. Unapopata elimu, tafadhali mpe mwingine, ndiyo ushirikiano wenyewe huo, tunaita LeMaChU yaani Lete Mabadiliko Chanya Ulipo 🤝 🇹🇿 🙏🏽
Endelea kufuatilia taarifa zaidi.....
Siti ya mbele...na mngoja Mheshimiwa hapa kwako..Naomba kitiMnafanya kazi kizmani, ziara za nini? Mliandika maandiko yenu bila kufanya utafiti? Kuelimisha watiu karne hii kunategemea ziara kwa ana kwa ana? mnajitafutia ulaji tu.
Mnachotakiwa muwe nachoi ni Research center s ya/za kudumu na muwe mnafata ushauri wake.
Mimi nashangaa katika fagio lililopita wewe Gwajima kubakishwa licha ya maadili ya Mtanzania kushuka na kuwa kiwnago cha chini kabisa. Ushoga umeenea kila sehemu, kuanzia majumbani mpaka mashuleni.
Mtajingaisha sana, kinachotakiwa nchi isiwe mawakala wa shetani. Nje ya hapo hata mfanye nini mtaangukia pua.
Kwanza atueleze hhiyo 'mtakuwwa" ya kwanza imefanikisha nini na kimebadilika nini?Siti ya mbele...na mngoja Mheshimiwa hapa kwako..Naomba kiti
Mheshimiwa..Utekaji wa watoto na watu wazima kwa jinsia zote imekithiri sasa.Huu siyo ukatili?
Hakuna waziri anayeweza kudhibiti maadili. Hayupo.Mnafanya kazi kizmani, ziara za nini? Mliandika maandiko yenu bila kufanya utafiti? Kuelimisha watiu karne hii kunategemea ziara kwa ana kwa ana? mnajitafutia ulaji tu.
Mnachotakiwa muwe nachoi ni Research center s ya/za kudumu na muwe mnafata ushauri wake.
Mimi nashangaa katika fagio lililopita wewe Gwajima kubakishwa licha ya maadili ya Mtanzania kushuka na kuwa kiwnago cha chini kabisa. Ushoga umeenea kila sehemu, kuanzia majumbani mpaka mashuleni.
Mtajingaisha sana, kinachotakiwa nchi isiwe mawakala wa shetani. Nje ya hapo hata mfanye nini mtaangukia pua.
Ni jambo jema sana kuwa na mikakati kama hii. Na kwa sasa kuna wimbi la ukatili kati ya watoto wenyewe. Yaani watoto wanalawitiana sijui hata tunaelekea wapi? Elimu itolewe zaidi kwa jamii ya tabaka la chini.Wasaalam.
MTAKUWWA kirefu chake ni Mpango Kazi wa Taifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (wa kike na kiume).
Awamu ya kwanza ulikuwa 2017/18-2021/22.
Awamu ya 2 ni 2024/25-2028/29 ambapo, tulizindua tarehe 15 Mei, 2029.
Kwa kifupi, ziko Kamati za Ulinzi wa Wanawake na Watoto kuanzia ngazi ya Kijiji, Mtaa, Kata, Halmashauri, Mkoa hadi Taifa. Kwenye ngazi ya Kijiji, Mtaa na Kata, wajumbe ni pamoja na wananchi yaani jamii.
Aidha, kamati imesheheni wadau wa sekta zote ikiwa ni pamoja na sekta binafsi, NGOs, viongozi wa kidini, watu maarufu wanaoheshimika na wenye msaada kwenye jamii, wawakilishi wa makundi ya kijamii wakiwemo vijana, wenye ulemavu, watoto, wanawake (kifupi makundi yote yamewakilishwa) (mpango utapandishwa online tutatangaza).
Katika kuongeza Kasi ya utekelezaji na elimu kwa jamii ili jamii imiliki programu hii na kushirikiana na Serikali, kesho tutakuwa na ziara ya baadhi ya mawaziri wa kisekta katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam ambapo, tutafuatilia hali ya utekelezaji, kupokea changamoto na kubadilishana maoni na wananchi Ili kuendelea kujenga kwa uimara zaidi kamati hizi.
BAADHI ya malengo mahsusi ya ZIARA YA 27 JULAI, 2024.
1. Kujionea mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Kamati za MTAKUWWA pamoja na kupokea maoni na kutoa mwelekeo.
3. Kuinua sauti kuhusu nafasi ya jamii kwenye utekelezaji wa MTAKUWWA kwani Wananchi wawakilishi wa jamii ni Wajumbe wa Kamati hii.
MATARAJIO YA ZIARA;
1. Mafanikio yanatambuliwa na changamoto zinatambuliwa na mwelekeo mpya unatolewa.
2. Wananchi wengi zaidi wanapata elimu kuhusu nafasi yao kwenye utekelezaji wa MTAKUWWA kama wajumbe wa Kamati.
3. Wananchi wanaongeza Kasi ya ushiriki wao na mchango wao kwenye utekelezaji wa Kamati.
4. Ulinzi wa Wananawake na Watoto unaimarika kuanzia ngazi ya Mtaa, Kijiji na Kata kwa wananchi kushirikiana na Serikali kwa kasi zaidi
5. Nchi nzima inaongeza Kasi zaidi ya utekelezaji wa MTAKUWWA hivyo, Kasi ya udhibiti wa ukatili wa kijinsia na kwa watoto inaongezeka.
ZIARA itaendelea nchi nzima.🇹🇿
Kwa pamoja, Serikali na Wananchi, tunatekeleza na mwisho tutakuwa na upimaji endelevu wa ufanisi na utambuzi kulingana na ufanisi Ili kuchochea zaidi hamasa na ushirikiano kwenye utekelezaji wa mpango huu.
Elimu itaendelea kutolewa. Unapopata elimu, tafadhali mpe mwingine, ndiyo ushirikiano wenyewe huo, tunaita LeMaChU yaani Lete Mabadiliko Chanya Ulipo 🤝 🇹🇿 🙏🏽
Endelea kufuatilia taarifa zaidi.....
Usiwe mkali bibie 👶Mnafanya kazi kizmani, ziara za nini? Mliandika maandiko yenu bila kufanya utafiti? Kuelimisha watiu karne hii kunategemea ziara kwa ana kwa ana? mnajitafutia ulaji tu.
Mnachotakiwa muwe nachoi ni Research center s ya/za kudumu na muwe mnafata ushauri wake.
Mimi nashangaa katika fagio lililopita wewe Gwajima kubakishwa licha ya maadili ya Mtanzania kushuka na kuwa kiwnago cha chini kabisa. Ushoga umeenea kila sehemu, kuanzia majumbani mpaka mashuleni.
Mtajingaisha sana, kinachotakiwa nchi isiwe mawakala wa shetani. Nje ya hapo hata mfanye nini mtaangukia pua.
Supportive supervision Iko kwenye mifumo yote tu. Unafuatilia ulichoandaa na kupeleka saiti, unakiona bayana.Mnafanya kazi kizmani, ziara za nini? Mliandika maandiko yenu bila kufanya utafiti? Kuelimisha watiu karne hii kunategemea ziara kwa ana kwa ana? mnajitafutia ulaji tu.
Mnachotakiwa muwe nachoi ni Research center s ya/za kudumu na muwe mnafata ushauri wake.
Mimi nashangaa katika fagio lililopita wewe Gwajima kubakishwa licha ya maadili ya Mtanzania kushuka na kuwa kiwnago cha chini kabisa. Ushoga umeenea kila sehemu, kuanzia majumbani mpaka mashuleni.
Mtajingaisha sana, kinachotakiwa nchi isiwe mawakala wa shetani. Nje ya hapo hata mfanye nini mtaangukia pua.
waziri ni top/ upper side of the structure.. yani kuna vitu akifanya leo hii waziri hapo katika wizara yake hata kuku msata pale bandana wataathirika in many ways.Hakuna waziri anayeweza kudhibiti maadili. Hayupo.
Maadili yanadhibitiwa na familia peke yake
Waziri kazi yake ni kudhibiti matokeo ya hayo maadili
Sio kazi ya dr. Gwajima kulea watoto wenu
Tuchukue kesi ya ushoga, anazuia vipi kwa mfano?waziri ni top/ upper side of the structure.. yani kuna vitu akifanya leo hii waziri hapo katika wizara yake hata kuku msata pale bandana wataathirika in many ways.
Imagine waziri akatae chsnjo za mifugo kisa zinaleta ushoga. Unajua kitakachotokea? Zilzopo bei zitapanda na kuku hawatapata chanjo kama ilivyotakiwa. So gwajima ana impact mpka ngazi ya familia hpo. Leo hii akisimama akasema tu wizara inatoa ajira elfu 60 kwq wanawake wa kitanzania walioolewa unajua timberline Lake huko familiani.
So usimtoe kwenye impact ya uongozi wake katika ngaz ya chini
Mpango mzima umekaa ki- nadhalia zaidi kuliko uhalisia..Kwa mfano Usalama wa watoto sasa ni tete na matukio ya utekaji yanaendelea.4 na 5 Waziri anasema usalama umaimarika..Polisi wana kanusha.Rais anasema ni maigizo tu.Ziara hiyooo...wanaenda kutathimini mafanikio ..yapi.? Mbona ni kama namna tu ya upigaji?Na anakazia ziara zitafanyika nchi nzima na utekwaji nao umetamalaki kila mahali? Sasa ni nini..Namba 4 na 5 naona ni matarajio ya ziara hii, japo napata wasiwasi wa effectiveness na efficiency ya ziara hii kwenye kuacha impact katika mkakat mzima wa community engagement. Hasahas kuzingatia utekelezaji wake kwenye kuacha sustainable impact!
Mkakat huu nina uhakika 100% utafanya vizuri sana kwenye tarajio namba 1 na namba 2. Lakin pia, elimu hii ilenge sanasana kukuza ustawi ngazi ya familia na kuongeza mwasiliano kati ya mzaz na mtoto. Kuvunja ukimya kwa mtoto yani "mzazi kuwa poa" kunaongez uwazi kwa mtoto kumshirkisha mzaz hatar anazoziona.
Lakin pia nitoe pendekezo kwa @dr gwajima kuongeza utekelezaj wa mirad ya youth & women empowerment mana kuna rate kubwa ya watoto kuachwa kuzurura hovyo mutaani kujitafutia. Hili utakutana nalo sana masokoni. Wengi wa watoto hawa wanatoka katika familia za mzaz mmoja hasa mtalaka wa kike. Kuzurura kunafungamana na kupotea.. mikakt mingi sasa hiv imejikita kwa vijana wa 19-25 na kwa sabab ya kuongeza kinga dhidi ya kuenea kwq ukimwi kufikia 95-95-95.
Nawasilisha