Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Nov 15, 2011 1,600 1,569 Nov 30, 2022 #21 Mnyiramba said: Naam!, ijue kwanza nyumba yako kabla haujaijenga! Ukiijua vizuri nyumba yako kabla haujaijenga utapigwa sana na utamaliza hiyo nyumba umechoka sana! Click to expand... Mkuu, haya maelezo mbona yanakinzana na lengo kuu la uzi!?? Sasa kuna haja gani ya kuijua nyumba yangu, wakati nikiijua ntapigwa hadi nichakae!??
Mnyiramba said: Naam!, ijue kwanza nyumba yako kabla haujaijenga! Ukiijua vizuri nyumba yako kabla haujaijenga utapigwa sana na utamaliza hiyo nyumba umechoka sana! Click to expand... Mkuu, haya maelezo mbona yanakinzana na lengo kuu la uzi!?? Sasa kuna haja gani ya kuijua nyumba yangu, wakati nikiijua ntapigwa hadi nichakae!??
Mnyiramba JF-Expert Member Jun 19, 2022 1,112 2,957 Nov 30, 2022 Thread starter #22 Mzee wa kupambania said: NENO DHARAU NI KWELI HAUJAANDIKA ILA ANGALIA MANENO YAKO YANA UKAKASI KUWAHUSU MAFUNDI nimejaribu pia kuwasiliana na mafundi kadhaa ila nimegundua vichwani ni weupe kama uwele! Ukitegemea akili zao binafsi utatumia gharama kubwa sana zisizokuwa na manufaa! Click to expand... Utakuwa wewe ni fundi maiko sio kwa makasiriko hayo mkuu
Mzee wa kupambania said: NENO DHARAU NI KWELI HAUJAANDIKA ILA ANGALIA MANENO YAKO YANA UKAKASI KUWAHUSU MAFUNDI nimejaribu pia kuwasiliana na mafundi kadhaa ila nimegundua vichwani ni weupe kama uwele! Ukitegemea akili zao binafsi utatumia gharama kubwa sana zisizokuwa na manufaa! Click to expand... Utakuwa wewe ni fundi maiko sio kwa makasiriko hayo mkuu
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Aug 14, 2022 17,985 43,472 Dec 1, 2022 #23 Mnyiramba said: Utakuwa wewe ni fundi maiko sio kwa makasiriko hayo mkuu Click to expand... Mimi wala sio fundi mkuu, ila kama una fundi anayejua kazi yake vizuri na sio mbabaishaji wanachofanya wenzako ni kumuuliza fundi kwa nini hapa unafanya hivi au unaonaje tukifanya hivi halafu unamsikiliza fundi akitoa sababu au ushauri wa kiufundi
Mnyiramba said: Utakuwa wewe ni fundi maiko sio kwa makasiriko hayo mkuu Click to expand... Mimi wala sio fundi mkuu, ila kama una fundi anayejua kazi yake vizuri na sio mbabaishaji wanachofanya wenzako ni kumuuliza fundi kwa nini hapa unafanya hivi au unaonaje tukifanya hivi halafu unamsikiliza fundi akitoa sababu au ushauri wa kiufundi
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,373 94,566 Dec 6, 2022 #24 Vesuvius said: Unachokitafuta utakipata, sometime wataalam waache kuwa wataalam ukiminimize sana budget utajuwa hujui Click to expand... Ukiwaamini sana wataalamu utajikuta unajenga kwa gharama sana
Vesuvius said: Unachokitafuta utakipata, sometime wataalam waache kuwa wataalam ukiminimize sana budget utajuwa hujui Click to expand... Ukiwaamini sana wataalamu utajikuta unajenga kwa gharama sana
Mnyiramba JF-Expert Member Jun 19, 2022 1,112 2,957 Dec 6, 2022 Thread starter #25 HIMARS said: Ukiwaamini sana wataalamu utajikuta unajenga kwa gharama sana Click to expand... Well said!,ndio nilikuwa namaanisha hivyo inabidi Akili za kuambiwa changanya na zako
HIMARS said: Ukiwaamini sana wataalamu utajikuta unajenga kwa gharama sana Click to expand... Well said!,ndio nilikuwa namaanisha hivyo inabidi Akili za kuambiwa changanya na zako