Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,598
- 1,565
Naam!, ijue kwanza nyumba yako kabla haujaijenga!
Ukiijua vizuri nyumba yako kabla haujaijenga utapigwa sana na utamaliza hiyo nyumba umechoka sana!
Mkuu, haya maelezo mbona yanakinzana na lengo kuu la uzi!??
Sasa kuna haja gani ya kuijua nyumba yangu, wakati nikiijua ntapigwa hadi nichakae!??