GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,752
- 109,374
Nakubaliana nawe kwa hili 100% Mkuu.Mengine yanasema eti janja yao ni kuidhoofisha kambi ya mnyama. Eti wanataka wamfunge mnyama kisaikolojia... Simba wasijiandae wakiamini mechi haitakuwepo.
Wanachokisahau, kikosi cha Simba kinaweza kutokea bar wakiwa wamelewa na bado Utopolo akachezea kichapo hata akiwa kafanya mazoezi ya miezi sita.
Leta timu uwanjaniMnahemea mapato mpaka leo kwani zile bilioni 20 za Mudi ziko wapi?
Simba Kama Libya ,Dewj Kama Gadaff.Kila kitu Ni Dewj tuuuLeta timu uwanjani
... ili mradi mpira wao unachezwa uwanjani na unaonekana dhahiri hadharaniSimba Kama Libya ,Dewj Kama Gadaff.Kila kitu Ni Dewj tuuu
Kila kitu ni familia ya Dewj tu.... ili mradi mpira wao unachezwa uwanjani na unaonekana dhahiri hadharani
HahahaaSidhani kama kuna ukweli, wao wanasimamia kwenye kanuni...
Nakwambia waziwazi yanga hawataleta timuJuhudi zangu za Kuchimba kutoka Jikoni nimeambiwa na Mmoja wao kuwa si Kweli kuwa Yanga SC hawataleta Timu Siku hiyo ila Kutishia kwao huku mara kwa mara kutoitambua au kutocheza 'Derby' ni kutaka 'Kuidhoofisha' Klabu ya Simba Kimapato kwakuwa Mechi hii ijayo Simba SC ndiyo Mwenyeji.
Hivyo basi nauomba Uongozi wa Simba SC ulishtukie hili mapema na sasa Msemaji wa Simba SC Haji Manara aanze Kuhimiza wana Simba SC wowote popote pale walipo kuwa muda wa Kununua Tiketi ukifika ( japo nimeambiwa walionunua Kipindi kile watarejeshewa Pesa zao) basi wakate kwa Wingi na 'Waujaze' Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Msidanganywe Yanga SC wataleta Timu.
Yeah, familia moja tu ya Dewji, lakini wananchi wote wanakereka! πππKila kitu ni familia ya Dewj tu.
Mkija kustuka itakuwa too late.Yeah, familia moja tu ya Dewji, lakini wananchi wote wanakereka!