GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Juhudi zangu za Kuchimba kutoka Jikoni nimeambiwa na Mmoja wao kuwa si Kweli kuwa Yanga SC hawataleta Timu Siku hiyo ila Kutishia kwao huku mara kwa mara kutoitambua au kutocheza 'Derby' ni kutaka 'Kuidhoofisha' Klabu ya Simba Kimapato kwakuwa Mechi hii ijayo Simba SC ndiyo Mwenyeji.
Hivyo basi nauomba Uongozi wa Simba SC ulishtukie hili mapema na sasa Msemaji wa Simba SC Haji Manara aanze Kuhimiza wana Simba SC wowote popote pale walipo kuwa muda wa Kununua Tiketi ukifika ( japo nimeambiwa walionunua Kipindi kile watarejeshewa Pesa zao) basi wakate kwa Wingi na 'Waujaze' Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Msidanganywe Yanga SC wataleta Timu.
Hivyo basi nauomba Uongozi wa Simba SC ulishtukie hili mapema na sasa Msemaji wa Simba SC Haji Manara aanze Kuhimiza wana Simba SC wowote popote pale walipo kuwa muda wa Kununua Tiketi ukifika ( japo nimeambiwa walionunua Kipindi kile watarejeshewa Pesa zao) basi wakate kwa Wingi na 'Waujaze' Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Msidanganywe Yanga SC wataleta Timu.