KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Timu ya wakaguzi kutoka wizara ya afya imeifungia zahanati moja wilayani igunga inayomilikiwa na jumuiya ya wazazi (ccm) kwa kutoa huduma za afya kwa kutumia kibali kilichogushiwa.
Source: TBC habari kwa ufupi 12.00PM
Source: TBC habari kwa ufupi 12.00PM