James7
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 120
- 82
Ulitaka wakusanywe na mikokoteni?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kama mada hujaielewa, nyonyesha mtoto ulale. Shule inahusianaje na malori?
Ulitaka wakusanywe na mikokoteni?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hatudanganyikii rais ni Dr.Magufuli.Lowassa mwizi tu kafukuzwa ccm kaingia chadema mnatudanganya kabadilika sisi siyo watoto. Magufuli tunaujuwa utendaji wake. Hapa kazi tu. Magufuli for president oyooooooooooooooo mtaisoma nambaaaaaa.mpaka kielewekeee
Kama mada hujaielewa, nyonyesha mtoto ulale. Shule inahusianaje na malori?
Tuulizeni sisi ambao mpaka sasa hivi fuso zetu zina order hapa maeneo ya Nzega kwa ajili ya kubeba watu kutoka maeneo mbalimbali.
View attachment 286585 hii ya ukawa vipi kujazia watu petrol bora kukusanya
cheki hapaView attachment 286578
Ulitaka wakusanywe na mikokoteni?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kama mada hujaielewa, nyonyesha mtoto ulale. Shule inahusianaje na malori?