huo umati ndio wa mwenyekiti wa kitongoji wa chadema,vp?wa ccm anaweza kuupata huo?
sipati picha pale mchika mic mkono wake huwa unapata maumivu kiasi gani?. ntafanya research on this so as to get the real answer.
Sio vibaya kama watachukuliwa ili waweze kwenda kuwapa somo wengine ambao hawakuhudhuria mi naona ni jambo zuri kwa manufaa ya wengine
Hatudanganyikii rais ni Dr.Magufuli.Lowassa mwizi tu kafukuzwa ccm kaingia chadema mnatudanganya kabadilika sisi siyo watoto. Magufuli tunaujuwa utendaji wake. Hapa kazi tu. Magufuli for president oyooooooooooooooo mtaisoma nambaaaaaa.mpaka kielewekeee
kwi ! kwi! kwi! umefumaniwa hadi baibui limekubana ! bila malori hakuna ccm , cha kushangaza hata coaster zimewashinda ! poor magamba !Ulitaka wakusanywe na mikokoteni?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
cheki hapaView attachment 286578
Ni wewe wasema.Magufuli for president mtaisoma nambaaKwa maelezo yako tu ya hapa tayari imejionyesha kwamba wewe ni mtoto. Vinginevyo unaweza kuwa mkubwa lakini mwenye akili za mtoto kichwani.