Igunga yazizima kumsikiliza Magufuli

Igunga yazizima kumsikiliza Magufuli

Hahahahahah umati kama ni mgombea udiwani

umati wa watu unategemea na wingi wa watu eneo husika. Hapa kazi tu

umati mdooogo!hv anagombea ubunge?

Mkutano wa Lowassa Igunga wiki iliyopita
NZEGA%2B1.jpg

Wananchi wakikimbilia kuangalia hlkopte

P1030515.JPG

Aliposhuka, Lowassa yule jukwaani
attachment.php

Hesabu hapo, Lowassa kawaambia wabunge mikono hesabu wanaopunga, wengine wanamshangaa tu, huyu mzima kweli?
NZEGA%2B4.jpg

Ikatafutwa angle nzuri ya picha kuepuka uwazi upande wa kulia
 
UKITAKA KUJUA WATU WANA MKUBALI MGOMBEA YEYOTE... ANGALIA MOOD YA WATU...!!!

HAPO MOOD YA WATU HAKUNA... watu wamekata tamaa kabisaaaaaa...!!!

So, hapo Magufuli hapati kitu, cheki nyuso na mood ya watu..

WAMEKATA TAMAA KABISAAAA...!!!

CCM OUT...!!!
 
Kuanzia leo naanza kusoma tu na kusepa make naona hapa wanafunzi badala ya kwenda fb wao wÃ-nakuja jf
 
Fisadi papa hana uwezo wa kupita katika kata yeye anajipa matumaini na watu anaowakuta katika wilaya chache anazopita.
 
attachment.php


Hapa ni Igurubi na kwa jinsi unavyoona hapo uchaguzi Serikali za Mitaa CCM haijaambulia kitu Wenyeviti wa vijiji vyote 6 ni CHADEMA na wenyeviti wa vitongoji wote ni CHADEMA

attachment.php

Mleta mada unaweza kuielezea hii picha inaashiria nini? maana kwa Igunga ambako nilikuwepo wengi wa watu unaowaona wameletwa na malori zaidi ya 10 na mabasi makubwa manne na wengi wao baada ya kushushwa hawakuweza kupata hata mlo wa mchana wengi wameondoka na njaa na hapo unapowaona wamenuna na ndio maana hakuna mtu yeyote anayeonyesha kumshangilia Magufuli hata kwa kunyoosha mkono tu.
 
Hapo vipi, kupanda kazi mpaka ashikiliwe.
 

Attachments

  • 1442167445141.jpg
    1442167445141.jpg
    60.7 KB · Views: 135
Hivi hata wananchi walioko barabarani wanaenda kumuona diamond au ni mapenzi kwa Rais Magufuli
 
Hapo vipi, kupanda kazi mpaka ashikiliwe.

Hivi mbowe ana akiri sawasawa kweli ama haya ndo magori ya mikono yenyewe? hivi huyu anayekokotwa nyuma kama roli lililokata handbrake ndo uje kuwadhuhaki watanzania eti agombee, kama ni wagonjwa vijeba wasubiri mashindano ya Olympic Brazil wampeleke babu yao huko ..Ikulu ya Tz si wodi ya maroboti
 
Back
Top Bottom