Ni psychology ya mtu anayetaka kufa!magamba iko wazi wazi kuwa mnakufa huku mnajiona hata 2015 mkifika ni bahati tu,kifupi IGUNGA itabaki kuwa historia kama ilivyo NYAMAGANA na ILEMELA,ARUSHA,MOSHI,MBEYA MJINI,HAI,UKEREWE,MUSOMA MJINI na kwingineko.PRO.MAJI MAREFU HANA MSAADA TENA,MAREHEMU SHEKH YAYA ambaye ulikuwa msaada wenu alisha tangulia mbele ya haki,WASILA anasinzia tu,KOMBA anasinzia tu,kifupi ni kwishneii.Chama kizee hakiwezi kwenda na kasi ya UJANA.CHADEMA pekee wameweza na tumewaaamini kwani wametutoa kwenye ukungu.IGUNGA wametolewa kwenye ukungu tunaona kwa macho yetu na si0o ya kusimuliwa.MAGAMBA YATAVULIWA MAGWANDA YATAVALIWA.