JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
IGP Wambura ameyasema hayo wakati akifunga kikao cha watendaji wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kilichofanyika jijini Dodoma ambapo pia amewataka watendaji hao kukahakikisha wanaendelea kutoa elimu ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia kwa makundi yote kwenye jamii.
Naye kamishna wa Polisi Jamii CP Faustine Shilogile amewataka watendaji wa Dawati la Jinsia kuendelea kutoa huduma bora kwa mteja ikiwa sambamba na kuyazingatia mafunzo waliyopatiwa ili jamii iweze kuondokana na ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa Watoto.