IGP Sirro haelewi maana ya social distance?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,598
215,317
1586509219080.png


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, nakuwataka wananchi hao wajikite katika shughuli halali za kujiletea maendeleo.
 
View attachment 1414900

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, nakuwataka wananchi hao wajikite katika shughuli halali za kujiletea maendeleo.
ICC candidate
 
View attachment 1414900

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, nakuwataka wananchi hao wajikite katika shughuli halali za kujiletea maendeleo.
Ngozi nyeusi haidhuriki na corona bwasheeee
 
View attachment 1414900

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, nakuwataka wananchi hao wajikite katika shughuli halali za kujiletea maendeleo.
Picha imejitosheleza kuonesha maelekezo ya kutobanana hayafuatwi na viongozi wa CCM.
 
View attachment 1414900

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, nakuwataka wananchi hao wajikite katika shughuli halali za kujiletea maendeleo.

Ni Mungu atatuokoa na Corona, hatuna viongozi wenye ufahamu wa kutulinda na majanga makubwa kama haya.
 
Back
Top Bottom