JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,458
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro ameendelea kukemea na kulaani vitendo vya mauaji vinavyotokana na wivu wa mapenzi ambavyo vimekuwa vikitekelezwa na baadhi ya watu kwenye jamii, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.
“Ukiona mwanamke amekuzingua si unaachanana naye tu, kina dada angalieni wanaume mnaotaka kuishi nao si kila mwanaume ni bora wa kuishi naye, hivyohivyo kwa wanaume angalieni aina ya wanawake mnaoishi nao,” Sirro
IGP Sirro amesema hayo, wakati akiwa eneo la Migori Mkoani Iringa alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo hilo.
“Ukiona mwanamke amekuzingua si unaachanana naye tu, kina dada angalieni wanaume mnaotaka kuishi nao si kila mwanaume ni bora wa kuishi naye, hivyohivyo kwa wanaume angalieni aina ya wanawake mnaoishi nao,” Sirro
IGP Sirro amesema hayo, wakati akiwa eneo la Migori Mkoani Iringa alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo hilo.