IGP Simon Sirro afanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi kwa baadhi ya mikoa

mkuu wangu wa jeshi la polisi Tanzania,kinachosababisha matatizo yote haya ni mchanganyiko wa mambo mengi mno,usiangalie ulipodondokea angalia ulipojikwaa;sharia zetu nyingi ni kandamizi na nyingi tumezirithi kutoka kwa wakoloni ambao lengo lao lilikuwa kukandamiza umma ili iwe rahisi kwao kutawala;anzisha na boresha polisi jamii (hii itasaidia kujenga imani kwa jeshi letu la polisi,elewa mafanikio ya jeshi hili linategemea zaidi uhusiano wake na jamii);anzisha police special units within our police force,hivi vitakuwa rahisi kuvimudu na uendeshaji wake utaleta ufanisi kuliko sasa kuwa na jeshi kubwa lisilo na utaalamu wa kukabiliana na dunia ya sasa;traffic dept ivunjwe na badala yake serikali za mitaa ziendeshe idara hii(metro police) utoaji wa driving licences uwe chini ya idara hii na leseni zitolewe kwa kufuata afya,umudu wa mtu katika uendeshaji wa vitu vya moto(yaani zitolewe kwa kufuatwa kwa codes),driving licences zote ziwe ndani ya data systems inayoongea nchi nzima na anzisha demerit systems kwa madereva;barabara zetu ziboreshwe na alama za barabarani ziwekwe na ziwe rahisi kuonekana kwa watumiaji wote,jenga traffic cameras kwenye barabara zetu ili kudhibiti bad driving behaviours;visible policing ni muhimu kuliko police kujificha porini;achana na so called tochi hizi ni illegal money makings,nunua camera zinazozekodi kila kitu sio uchafu huu tuliokuwa nao.
Kama akipita hapaataelewa nini maana ya JF.
 
Msangi katemwa eti? Huyu bwana hunifanya nikumbuke alivyoumizwa Dr Ulimboka!!!!!
 
Tafsiri ya haraka haraka ni kwamba kinachoitwa tochi za trafiki hakijasaidia sana kupunguza ajali za barabarani tofauti na lengo.


Binafsi naona badilinadili ya vifaa vya kudhibiti ajali bila kujikita kwenye kubadili mindset ya madereva na wadau wengine, haitatufikisha tunakotakiwa kuwa, baadhi ya watendaji wa kikosi husika ni money oriented, makosa ya barabarani ni mtaji kwao, uwezekano wa watu kama hao kujikita kuieleimisha jamii na wadau wengine katika kupunguza ajali za barabarani ni ndoto.

Kunatakiwa kuwepo umakini na uadilifu wa hali ya juu katika selection process ya askari wa kikosi hicho, vinginevyo ajali hazitakoma, imagine aksri anakuambia "namshukuru Mungu nimehamishiwa chalinze, hapa magari ni mengi toka Tanga, Arusha, Moshi, Nairobi na nyanda za juu kusini, magharibi na kanda ya ziwa na kati yote lazima yapite hapa.."
 
Tafsiri ya haraka haraka ni kwamba kinachoitwa tochi za trafiki hakijasaidia sana kupunguza ajali za barabarani tofauti na lengo.
Wamekazania tuu tii sheria bila shuruti wakati dunia imebadilika sana... It's high time wawe na kitengo cha research kiwasaidie kupata key solution to key problems based on research siyo hizi bla bla.....
 
Watu wanatumia gari kwa shughuri binafsi, huo upande bado kuna shida sana. jeshi hilo ni la kihuni sana hata maafisa wake wa hovyo sana....wanahitaji kubadilika kisaikolojia, matendo na namna ya utendaji kazi wao. Rushwa zinawatesa sana hawa mbwa....rushwa ni roho kwao
 
Binafsi naona haitasaidia chochote katika kuboresha jeshi letu la polisi maana LIMEOZA SANA.
Ngoja tuone Mh Lugola atafanya nini japo yeye nae ni msanii msaniii kidgo ila akiamua kwa dhati anaweza kuleta mabadiliko chanya !!!!!!!!!!!!
Mkuu siyo msanii kidogo ni msanii hasa.... Mwinjage kapata mwenzake....
 
Tatizo la ajali ni Traffic Revenue Authority badala ya kusisitiza Traffic Regulations Authority kulipa faine ni sawa lakini kisiwe kipaumbele cha kwanza kwa kila kosa, kuwe na usimamizi mzuri na wakati mwingine wawaelimishe madereva kila mara!!!
 
Back
Top Bottom