IGP Mwema, 'mob justice' na kuuawa kwa polisi

Muslims are not happy in Gaza.
They're not happy in Egypt or Libya or Morocco.
They're not happy in Iran.
They're not happy in Iraq or Yemenor Afghanistan.
They're not happy in Pakistan.
And they're not happy in Syria or Lebanon.

So, where are they happy?
They're happy in Australia.
They're happy in Canada.
They're happy in England, Franceand Italy.
They're happy in Germany. They're
happy in Sweden, the USA and Norway.
They're happy in Holland and Denmark.

Basically, they're happy in every
country that is not Muslim and
unhappy in every country that is.

And who do they blame?
Not Islam. Not their leadership. Not themselves.
They blame the countries they are happy in.
And then they want to change those countries to be like the country they came from where they were unhappy.

Kwa hiyo, kuuawa kwa polisi Tabora, Mwanza na sasa Zanzibar kunamaanisha kuwa Waislaumu aren't happy in Tanzania?
Kwamba mob justice inasababishwa na Waislamu kutokuwa happy hapa Tanzania?
Kwamba mob justice is associated with Muslim not being happy?
 
Muslims are not happy in Gaza.
They’re not happy in Egypt or Libya
or Morocco.
They’re not happy in Iran.
They’re not happy in Iraq or Yemen
or Afghanistan.
They’re not happy in Pakistan.
And they’re not happy in Syria or
Lebanon.
So, where are they happy?
They’re happy in Australia.
They’re happy in Canada.
They’re happy in England, France
and Italy.
They’re happy in Germany. They’re
happy in Sweden, the USA and
Norway.
They’re happy in Holland and
Denmark.
Basically, they’re happy in every
country that is not Muslim and
unhappy in every country that is.
And who do they blame?
Not Islam. Not their leadership. Not
themselves.
They blame the countries they are
happy in.
And then they want to change those
countries to be like the country they
came from where they were
unhappy.

True great thinker,islam is a religion of violence
 
mwema.jpg

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Said Mwema

IGP Mwema is too soft!
Hebu tazama mikono, haina hata chembe ya msuli mmoja.
Inaelekea mekaa ofisini kwa maisha yake yote, huyu ni administrator na si villain hunter.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mwema.jpg

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Said Mwema

"Salam, ….. naomba tafakari mob justice (kujichukulia sheria mikononi) ni adui wa human rights rule of law, (sheria za haki za binadamu). Good governance (Utawala bora) iwe kwa raia au askari aliyeuawa … ambaye niko njiani kwenda … kumzika. Na iwe sababu yoyote, hata Mungu hampendi anayetoa kikatili roho ya mtu mwingine…..Where are the good people? (Wako wapi watu wema?). Lets join hands and have ant mob justice campaign in this country for common good (Tushikamane kupinga wanaojichukulia sheria mikononi katika nchi kwa ajili ya ustawi).”

Huo uliliwa ujumbe mfupi wa maneno kwa njia ya simu (SMS) kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Said Mwema, uliokuwa ukilalamikia kitendo cha baadhi ya wanakijiji wa Mwakashahala kata ya Puge, wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora, kumuua polisi Joseph Milinga, Aprili 20, 2011 baada ya kuwakamata wakiwa na bangi.

Mwaka jana aliuawa polisi wa cheo cha chini. Mwaka huu ameuawa RPC. Mwaka kesho sujui atauawa polisi wa cheo gani. Kama RPC anauawa kilaini hivi ndani ya ardhi ya Tanzania basi hata usalama wa IGP Mwema ni wa mashaka sana maana "mob justice" is still at work.

UPDATE

Haya taarifa za polisi mwingine kuuawa huko Zanzibar.

Askari polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia cha FFU ameuawa kwa kupigwa mapanga na kukatwa kichwa kufuatia vurugu zilizotokea visiwani humo jana mchana na kuendelea hadi leo. Mob justice still at work?
mkuu endelea kuweka updates ,si umesikia yaliyotokea huko ngara.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
IGP Mwema is too soft!
Hebu tazama mikono, haina hata chembe ya msuli mmoja.
Inaelekea mekaa ofisini kwa maisha yake yote, huyu ni administrator na si villain hunter.

Kwanza hata hiyo silaha alivyoishika dole gumba limelala kati ya kilengeo cha mbele na nyuma hapo sijui analenga nini.IGP huyo.......!!!!!!!!
 
VITENDO vya wananchi kujichukulia sheria mikononi vinaendelea kushika kasi ambapo askari wawili wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, wanadaiwa kuuwa na wananchi wenye hasira kali jana. Taarifa ambazo zililifikia Tanzania Daima Jumapili wakati tukielekea mitamboni jioni, zilisema kuwa mauaji hayo yalifanyika baada ya wananchi hao kuvamia na kukichoma moto kituo cha polisi cha Mugoma wilayani humo baada ya askari hao kudaiwa kumpiga risasi fundi wa pikipiki.

Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea mchana wakati askari kadhaa wa kitengo cha usalama barabarani walipofika kwa fundi pikipiki huyo na kutaka kuichukua pikipiki aliyokuwa akiitengeneza kwa madai kuwa ilikuwa na makosa. Kwamba fundi huyo aligoma na kueleza kuwa asubiriwe mwenye pikipiki ili kuepuka kudaiwa chombo hicho cha usafiri.

Mmoja wa mashuhuda hao, aliyatambulika kwa jina moja la Libela, alidai kuwa baada ya mvutano wa muda mfupi, askari hao walifyatua risasi na kumpiga fundi huyo mguuni na kifuani, hivyo kusababisha kifo chake. Aliongeza kuwa, tukio hilo liliwapandisha hasira wananchi na kuwafukuza askari hao waliokimbilia katika kituo hicho cha polisi.

Lebela alifafanua kuwa, wananchi hao waliamua kukichoma moto kituo hicho hatua iliyosababisha askari waliokuwemo kutoka na kukimbia kila mmoja na muelekeo wake. Alisema kuwa askari aliyetajwa kwa jina la Koplo Paschal alianguka wakati akijinusuru, hivyo kuvamiwa na wananchi waliokuwa na zana mbalimbali za jadi ambazo walitumia kumshambulia na kumuua papo hapo.

Wananchi hao pia wanadaiwa kumfuata askari mwingine anayetajwa kwa jina la Pc Alex aliyekuwa amekimbilia kwenye nyumba ya mwananchi mmoja na kumtoa kwa nguvu na kisha kuanza kumshambulia hadi kumuua.

Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku ya soko katika eneo hilo la Mugoma linalopakana na nchi jirani ya Burundi ambapo raia wa Tanzania na Burundi hukutana na kufanya biashara jirani na kituo hicho cha polisi.

Kutokana na kuchomwa moto kwa kituo hicho, nyaraka mbalimbali zinadaiwa kuteketea, huku pikipiki na baiskeli kadhaa zilizokuwa kituoni hapo nazo zikiteketea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Philip Kalangi, hakuweza kupatikana kuthibitisha tukio hilo kutokana na simu yake ya kiganjani kuita bila kupokelewa.
 
What can we state the obvious? failure in political leadership. Tusije kuwa tunasubiria tusikie waziri kauawa akidhaniwa jambazi!
 
Mi naona hapa tatizo ni haka ka IGP. Hakuna asiyejuwa kuwa jeshi la polisi ni wahalifu na asilimia kubwa ya majambazi ni wao au wanashirikiana nao kuua raia wema bila huruma. Asilimia kubwa ya silaha za majambazi ni za polisi sasa iweje majambazi kukutwa nazo? Inabidi hili jeshi lirekebishwe haraka la sivyo polisi na raia tutakuwa tunawindana kuuwana, hata Mwema mwenyewe atawindwa kwani raia tumechoshwa na huu unyanyasaji wa polisi.
 
Watanzania tuko wapi hadi polisi wanambaka mama mjamzito, kumpitisha chuma ndani ya uke wake, na mumharibia kizazi na mtoto tumboni? Tanzania inaelekea wapi.

Hiki kitendo kimefanyika huko Moshi vijijini na kimefanywa na askari wa KINAPA. Wananchi walipojitokeza kufunga lango la hifadhi polisi hawahawa wanaenda kuwapiga mabomu ya machozi. Mama alikuwa anaokota kuni za kupikia wanae ambao ni wadogo tu. Hawa polisi wanajua wanayoyafanya? Kumbaka mama mjamzito? Kumtoboa kama mnyama hadi kumwulia malaika wake tumboni na kumfanya aondolewe kizazi? Hivi hawa askari wetu walizaliwa na mama zao au walidondoka mitini kama mapapai? Hivi wana wake zao? Wana dada, bibi, shangazi, mama wakwe nk? Je mtu akienda akawabaka hadi kuwabomolea mimba na vizazi vyao watajisikiaje? Huyu mtoto waliyemwuua amewakosea nini?

Wakifika nyumbani baada ya kazi na matendo yao haya wanajisikiaje wanapokuwa na wake zao na watoto ihali wameitenda hivi familia ya huyu mama? Nafikiri imefika wakati watu wanaoishi kuzunguka mlima huu kufanya kazi ya ziada. Wanaume nyanyukeni na kwa pamoja anzeni kuwapoteza hawa askari mmoja mmoja. Watakuwa na heshima mbele ya jamii kama watageuzwa kuwa mbolea kwa ajili ya kurutubisha hifadhi hii.

Msiwasubiri hata kidogo. Wanastahili kupotea kabisa toka uso wa dunia.

Yaani inaumiza mpaka basi!
 
Watanzania tuko wapi hadi polisi wanambaka mama mjamzito, kumpitisha chuma ndani ya uke wake, na mumharibia kizazi na mtoto tumboni? Tanzania inaelekea wapi. Hiki kitendo kimefanyika huko Moshi vijijini na kimefanywa na askari wa KINAPA. Wananchi walipojitokeza kufunga lango la hifadhi polisi hawahawa wanaenda kuwapiga mabomu ya machozi. Mama alikuwa anaokota kuni za kupikia wanae ambao ni wadogo tu. Hawa polisi wanajua wanayoyafanya? Kumbaka mama mjamzito? Kumtoboa kama mnyama hadi kumwulia malaika wake tumboni na kumfanya aondolewe kizazi? Hivi hawa askari wetu walizaliwa na mama zao au walidondoka mitini kama mapapai? Hivi wana wake zao? Wana dada, bibi, shangazi, mama wakwe nk? Je mtu akienda akawabaka hadi kuwabomolea mimba na vizazi vyao watajisikiaje? Huyu mtoto waliyemwuua amewakosea nini? Wakifika nyumbani baada ya kazi na matendo yao haya wanajisikiaje wanapokuwa na wake zao na watoto ihali wameitenda hivi familia ya huyu mama? Nafikiri imefika wakati watu wanaoishi kuzunguka mlima huu kufanya kazi ya ziada. Wanaume nyanyukeni na kwa pamoja anzeni kuwapoteza hawa askari mmoja mmoja. Watakuwa na heshima mbele ya jamii kama watageuzwa kuwa mbolea kwa ajili ya kurutubisha hifadhi hii. Msiwasubiri hata kidogo. Wanastahili kupotea kabisa toka uso wa dunia. Yaani inaumiza mpaka basi!
Kweli ingekuwa my wife, au ningeshughudia nadhani polisi nao familia zao zinegelia sana.Wakifikia hapo sheria haiwalindi tena, ni sawa na kuua mbwaa kichaa.Polisi akifikia mahali pa kutozifuata sheria na kuua watu kinyume na sheria ,hastahili tena kuishi km bado anayo hiyo silaha.Ila akifakinikiwa shikwa basi lazima afikishwe ktk sheria.


IGP mwema lazima ajue ilikuwa ni mapambanao ktk ya Raia na polisi waasi, polisi kichaa.Na hakutakiwa hata kuunda hizo tume, alitakiwa kuwapa polis memo wafundishane kujiheshimu mbele ya uhai wa raia.Na kufanikiwa kwao ni kupendwa na raia na si kuhofiwa na kuchukiwa.

Wakalipe wafiwa ka makosa ya polisi.
 
What can we state the obvious? failure in political leadership. Tusije kuwa tunasubiria tusikie waziri kauawa akidhaniwa jambazi!

Umesema vyema.hawa polisi sasa wanalindwa na wenzao wa CCM wafaanao ktk dhiki.Polisi jamii ime crash, askari sasa hawajui tena diplomasia.

Polisi wanashindwa ona mbali na kujua kuwa usalama na ufanisi wao hautegemei sana silaha walizo nazo,ila mahusiano mazuri na raia.mahusiano mazuri yanawapa raia hamuya kusaidia polisi, kuwapenda polisi, na kugawanyika kimitazamo linapokuja suala la polisi.Yaani raia wema wengi watakuwa upande wa polisi wema, na waliobaki hata wakiwa upande wa uhalifu bado watakuwa ni wachache.

siku hizi polisi wakiongea wanaambiana mbona usipige mabomu, au usichape moto tuu.As if ndio njia rahisi yao kuzuia tatizo au ahata kuonyesha ubabe na kucheza game ya live.
 
Polisi nchi hii ni sababu ya kuzuka kwa mob justice. Injustice kubwa ipo polisi, wapo juu ya sheria. Mimi ninaunga mkono watu kujiahami na kujilinda kwa vile polisi wetu wameshindwa kulinda raia na mali zao. Polisi wana ua bila kujali wala kuwajibika, angalia wameua raia wangapi mwaka huu, hivi kweli polisi anawajibu wa kuua?

Ninaona mbeleni polisi watauawa sana tu, angalia kila polisi anakuwa trafiki, ana kamata na kunyanganya hela, inaaminika pesa hizo zinafika mpaka kwa wakuu wa wilaya na mikoa, wananyanyasa. Ukipeleka lalamikao kituoni wanakuita mteja, upeleke chochote, na wakikukamata wewe ndiyo teja lazima ikutoke nyingi. Wao ndio wanaolinda wahalifu na ni sehemu ya uhalifu. Sasa we mwananchi wa kawaida utakimbilia wapi?

nasema ya moyoni, Inafaa tujiunge kujilinda dhidi ya polisi hawa wadhalimu na serikali yao
 
IGP Mwema is too soft!
Hebu tazama mikono, haina hata chembe ya msuli mmoja.
Inaelekea mekaa ofisini kwa maisha yake yote, huyu ni administrator na si villain hunter.

acha ujinga kwan Misuli ndo Utendaji wa kazi nani kakwambia mwenye Misuli Ndo Anapiga Sana?? Aahhh pointless Men
 
Hivi UshakAa Na kutafakari Na Kujua Kuwa Tanzania Inatia Aibu Sana? Kwanza Mtu Kama RPC Anauwawa Kijinga Hivi, Hivi Huyo Ni Kiongozi Au Mgambo?? Ni aibu Sana HAYA Polisi Nao Wanauwawa Kijinga Na hao Hao Polisi Wanaleta Vurugu Zisizo Za Lazima Swala La Pikipiki Ukampge Risasi Mwananchi Yani Roho Ya Mtu Ina Thamani Na Pikipiki?? Ni Aibu Matukio Haya Mpaka Lini?? Raia Wanauwawa Viongozi Wanaunda Tume Za Wizi Laiti Ingekuwa Polisi Wanachukuliwa Hatua Tanzania Leo Isingekuwa Hivi, Lakini Wananchi Washachoka Kuliwa Ndugu Zao Na Mauaji Yatazidi Sababu SMT imepoteza Direction Tanzania Inanuka Kila Idara Mpaka Ikulu Tukufu Inanuka Na Si Unanuka Taka Hapana Inanuka MAVI YA UFISADI INANUKA DAMU ZA WASIO NA HATIA INANUKA PESA ZA WANANCHI WA TANZANIA ZINAZOIBWA KILA SIKU INANUKA WIZI WA LASILIMALI ZETU VIONGOZI WANANUKA UONGO UTAPELI RUSHWA IGP NI KIONGOZI MZURI LAKINI WANAMBANA MWEMA NI KIONGOZI MZURI ANAIMANI NA APENDI RAIA WAFE LAKINI CCM INAPENDA DAMU INAKUNYWA DAMU ZA WATANZANIA KAMA JUICE ZA AZAMU NDOMANA WATANZANIA HAWADHAMINIKI SABABU SERIKALI PIA HAWATHAMINI RAIA WAKE LINI NCHI ITANUKIA MAWARIDI NA YASMINI LINI NCHI ITANUKIA MARASHI MAZURI NA NYUSO ZA WANANCHI ZIJAE FURAHA NA TABASAMU MWANANA LINI MTANZANIA ATAONDOLEWA VIKWAZO VYA ELIMU LINI ATAPATA HUDUMA BORA SIASA IMEKUWA UONGO WA ASILI HAKIKA DAMU ZINAZOMWAGIKA LEO ZITALIPWA FUNGUO MACHO JAKAYA MRISHO KIKWETE USIBANWE NA MAFISADI FUNGUA MINYORORO WATANZANIA WALIKUPENDA WW NA SI CCM WENGI WALIKUCHAGUA HATA MIMI NAKUPENDA LAKINI WAPI UNATUPELEKA KUFA ASKARI MMOJA UNAJUA KHASARA INAYOPATIKANA?? KUFA RAIA MMOJA UNAJUA KHASARA INAYOPATIKANA ASKARI NI MTU MUHIMU KWETU NA RAIA NI MTU MUHIMU SANA LINDA WOTE JAKAYA HATA POLISI AWE NA HAKI YA KUFUNGWA HATA WAZIRI FUNGA WOTE HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA HATA WW UKIKOSA JIPELEKE SEGERERA UTAFANYA VIZURI JAKAYA LINI UTATENDA HAKI KWA WASIO NA UWEZO?? JK WW UNATABASAMU KILA WAKAT NI ISHARA NZURI LAKIN SISI TUNALIA NA MISIBA YA NDUGU ZETU WANAUWAWA NA JESHI LAKO SISI TUNALIA NA NJAA WAKATI MALI TUNAZO MUNGU AMEIJALIA TANZANIA


JAKAYA MRISHO KIKWETE FUNGUA MINYONYORO FUNGUO UNAYO MWENYEWE.
 
Zipo habari pia polisi ameuawa na wananchi Namtumbo mkoani Ruvuma.

Wananchi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wamemuua askari polisi mmoja na kumjeruhi mwingine kwa kutumia silaha za jadi, baada ya askari hao waliokuwa doria kumuua kwa kumpiga risasi mwendesha pikipiki kwa kuvunja sheria za barabarani.

Source: RADIO ONE BREAKING NEWS

MY TAKE:
IGP HAS PROVED ROBUST FAILURE HE OUGHT TO RESIGN OUTRIGHT
 
Back
Top Bottom