Mzee Wa Liverpool
Senior Member
- Jul 18, 2013
- 197
- 22
Mangu ndo ziGP tunaemuhitaji dhidi ya Manyangau chagadema
we mpuuzi kabisa, kwanza hata kiswahili hujui, manyangau ndiyo nini?
Mangu ndo ziGP tunaemuhitaji dhidi ya Manyangau chagadema
Ukweli yeyote hata kama ni wewe unashabikia policcm kupiga mama zako UNALIWA MDONDO hadi kulegeawewe analiwa mdondo?du!
hii kitu mbona ipo duniani chief?Leo assadsyria unasapoti UKAWA na unapigia chapuo ukuta,maslahi yako yametatanishwa ahhh?Wanasiasa wa TZ ni wanafiki kweli na kwa sababu mlishajua aina ya watu mnaowaongoza basi ndio mnajiachia weee
Ha ha ha kweli siku hazingqndiMangu yuleeeee...!!!
Atapangiwa kazi nyingine