IGP Mangu kiboko ya CHADEMA

IGP Mangu kiboko ya CHADEMA

Kwa taarifa yako unayemsifia anaitia petrol Tanzania, subiria kidogo tu tuanze kuchinjana sisi kwasisi, polisi watatuuwa kwa risasi lakini wao na watoto wao tunaishi nao mitaani mwetu na waanze kuhama maana kila mmoja kwa nafasi yake aanze kuchukuwa hatuwa kuangamiza polisi na familia zao tuone mwisho wake nani ataibuka mshindi polisi au raia. nawewe mleta uzi omba upate maisha marefu kidogo tu ushuhudie nakuonja machungu ya unachokisifia maana hufahamu unashabikia nini.

We kenge mama yangu anaingiaje humum acha kuliwa Buzz ya zamani jenga hoja pussi weeeee.nabado mlidekezwa na mwema sasa mtabeba chpi mikononi dadadadeki

Na kweli mkuu. Yaani kama Mbwa vile. Mradi akiambiwa shikaaa shikaaa aaaaaghhh!... Na hivi maaskari wenyewe bange na poda + viroba ndo kwao... Lazma agizo la pid litimilike.

Mkuu wasikupe shida hao vibaraka. Kama huyo Mangu na hao vijana wake wangekuwa na unavu kama wanavyojinadi wangeangua kilio kule Tarime baada ya kutembezewa kichapo na vijana wa Mwamunyange? Kama hujaipata hiyo story ni kuwa kama kawaida yao walimkamata mjeshi akiwa anaendesha pikipiki bila helmet na amevaa kiraia. Basi kama kawaida yao wakamsumbua wakitaka hela ya "mboga" Sii unajuwa wanavyoendekeza njaa? Mjeshi akagoma na ngumi zikaanza.
Basi bwana hao vijana wa Mangu sii wakaitana ili wamsulubu huyo mjeshi kama walivyowapiga wale wanawake walioandamana leo. Mjeshi akaona Polisi wamekuwa wengi na hawezi kuwamudu. Akaruka hewani kuwaita wenzake waje stand ya Tarime kuokoa jahazi. Kilichofuata hapo ni kuwa hao wanaosifiwa hapa walikula kichapo kama watoto wakaishia kuangua kilio hadharani mchana kweupe na wengine kupelekwa hospital kwa huduma ya kwanza.
Kwa hiyo hao wanaoitwa mashujaa kwa kupiga wanawake na raia wasio hata na manati kumbe si lolote wala chochote wanapokutana na wanaume wenzao wa kazi. Kumbe hata waandamanaji ni kwa vile wanaheshimu sheria tuu, lakini siku kikiwaka na kuamua jino kwa jino yatatokea yale ya Pemba ya kutenganisha kichwa na kiwiliwili.

Haka kanchi bila ya kichapana kamwe hatutaheshimiana, askar anatoka kupiga rais huku tunaishi nao mtaan na sisi tunapiga mke waka au baba yake pumbafu kbs, labda wawe wanalinda na nyumba za mbavu za mbwa, maana askar wanaish maisha dun kwenye nyumba xa mbavu ya mbwa

KUMBE kweli unashughulikiwa! Mwanzoni mi nilidhani wanakusingizia!

Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.

KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.



Kwa kweli wengi tunaichukia sana CCM na mfumo wake mchafu wa dola unaogandamiza wanyonge na kuwalinda wahalifu wakubwa.

Hata hivyo tujiulizi wako wapi wakombozi wa kuikomboa hii nchi dhidi ya huu udhalimu?

Iko wapi mipango na mikakati ya hao wakombozi wanaojiandaa kuitoa madarakani CCM na vibaraka wake?

Hivi Chadema haitaki kukubali tu kuwa UKAWA ndio suluhisho la kuunganisha nguvu za wapinzani kwani hakuna Chama chenye nguvu kama CCM kwa kila idara nchi nzima?

Hao wasomi wa CHADEMA wako wapi hawataki kuwaambia ukweli na kuwashauri vongozi wao kuwa Chadema kmeshuka umaarufu na UKAWA ndio ilianza kurejesha nguvu za wapinzani?

Kwa nini Chadema kinatumia katiba ya watanzania wote kujitafutia umaarufu wakati ni dhihiri kuwa UKAWA ndiyo ilipaswa iratibu na kusimamia maandamano haya.

Bila chadema kuungana na CUF ,hakitaweza kuingia madarakani milele.Wataendelea kuunda serikali kivuli na katiba kivuli.

CDM acheni uroho shirikianeni na vyama vingine kupambana na CCM
 
Sidhani kama anajua katiba ya nchi inasemaje juu ya haki za binadamu.huyu sasa ataleta vita!wananchi hawajawahi kushindwa na wanasiasa hapa duniani.muda si mrefu ataomba poo.si ameona yaliyotokea songea?
 
Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.

KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.
Wewe msifie tu huyo kada mwenzio wa magamba, kwa namna anavyotumia chombo hicho cha dola, kinachoendeshwa kwa kodi zetu, kugandamiza uhuru wa wananchi wa kuelezea hisia zao, kwa kutumia mabomu ya machozi, virungu hadi risasi za moto, akiamini kuwa Mungu alilipangia Taifa hili kutawaliwa na CCM milele.

Ushauri wangu wa bure tu kwako uliyeleta mada hii ni kuwa siku itakapofika ya huyo IGP wako kuitwa the Hague kwenda kujibu mashitaka ya udhalimu huu wa kutisha anaowafanyia watanzania, basi usisahau kumsindikiza huko ICC, kama ambavyo mwenzako Zuma hivi sasa anavyomsindikiza 'mwenzake' Uhuru Kenyatta!
 
Said Mwema, Chadema walikuwa wanamshambulia kisa Muislam na huyu Mangu sijui watasemaje.

Naye ni Muislamu, kwa hiyo dini sio issue wewe unataka kuchanganya mambo.
 
Kashindwa kudhibiti majambazi, kashindwa kudhibiti ajali za barabarani ambazo ndio msingi wa kazi yake anajishugulisha na kufuata amri za mabwana zake CCM.

Uzuri nyie MaCCM ni wachache huku mitaani so tukianza kula sahani moja na nyie na kuchoma nyumba zenu Mangu hatafua dafu.
 
Kwa kweli wengi tunaichukia sana CCM na mfumo wake mchafu wa dola unaogandamiza wanyonge na kuwalinda wahalifu wakubwa.

Hata hivyo tujiulizi wako wapi wakombozi wa kuikomboa hii nchi dhidi ya huu udhalimu?

Iko wapi mipango na mikakati ya hao wakombozi wanaojiandaa kuitoa madarakani CCM na vibaraka wake?

Hivi Chadema haitaki kukubali tu kuwa UKAWA ndio suluhisho la kuunganisha nguvu za wapinzani kwani hakuna Chama chenye nguvu kama CCM kwa kila idara nchi nzima?

Hao wasomi wa CHADEMA wako wapi hawataki kuwaambia ukweli na kuwashauri vongozi wao kuwa Chadema kmeshuka umaarufu na UKAWA ndio ilianza kurejesha nguvu za wapinzani?

Kwa nini Chadema kinatumia katiba ya watanzania wote kujitafutia umaarufu wakati ni dhihiri kuwa UKAWA ndiyo ilipaswa iratibu na kusimamia maandamano haya.

Bila chadema kuungana na CUF ,hakitaweza kuingia madarakani milele.Wataendelea kuunda serikali kivuli na katiba kivuli.

CDM acheni uroho shirikianeni na vyama vingine kupambana na CCM
mkuu pamoja na yote haya, ccm haiwezi kukubali kutoka madarakani bila damu za watanzania kumwagika, watatumia vyombo vya dola ili kuendelea kutawala.
 
Kiukweli mfumo wa jeshi la polis ni wa kichama zaidi kuliko kiutendaji zaidi. Viongozi wengi wa jeshi la polis ni makada wa ccm!
 
KUMBE kweli unashughulikiwa! Mwanzoni mi nilidhani wanakusingizia!

ImageUploadedByJamiiForums1412491894.167411.jpg
Wewe ni wa kuhurumia tuu. Upumba.vu nao ni kipaji mtu anajaliwa kuupata. Hivyo hongera.
 
nafikiri sifa ya uyang'au inampendeza sana mama'yo maana amesababisha umezaliwa ukiwa na tabia chafu ya ushoga hadi hujui haki zako sababu ya kuwatumikia wezi na mafisadi. Wait time will tell.

kali sanaaaa
 
Sipati picha Pinda anakuwa Rais na Magufuli anakuwa Waziri Mkuu na Mwakyembe anakuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Sijui hawa machadema kama watapata ujasiri wa kuongea upuuzi wao wa kulazimisha maandamano. Yaanimile kutangaza tu kuwa wataandamana licha ya zuio la polisi tayari anakuwa amewekwa ndani
hata mie nimefurahishwa kwa kweli.
nataman adumu milele MANGU maana washekhe wa uamsho wanavuja damu kwenye suruali na cdm wako mitini wakijikosoa
 
Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.

KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.

Ni lazima tuwe na mashaka na akili zetu kama tumefika mahali tunashangilia kuona demokrasia inafinyangwa. Muhimu ni kujua kuwa ukizoea kufukuza wenzio ipo siku utafukuzwa wewe. Hapo ndipo utajua ubaya wa kufukuzwa
 
Back
Top Bottom