Kuna UZI fulani nimesema kuwa hii picha nimeikuza usawa wa ya TV inch 24 nimeiweka ukutani ofisini kwangu!
![]()
Duuh! hii kali, lakin nao ni binadamu wa kawaida banah,, labda anahofia kiatu chake kitaoza kwenye maji,,,
Kwani anakesha humo ndani ya maji mpaka kiatu kioze.!? we sema hawa polisi wa sasa hivi laini sana wapowapo tu, na huyo jamaa utakuta katishiwa ndo akambeba..!!
Askali sharobalo.. Afu halipi huyo. Mbebaji anaogopa kubamkiwa kesi au kuuawa kabisa kwani watu hao
Hapo kama angekuwa JWTZ ndo ningeshangaa. askari polisi wetu watanashati bwana
wabongo wanafiki
Ingekuwa maandamano ya chadema?
Kuna UZI fulani nimesema kuwa hii picha nimeikuza usawa wa ya TV inch 24 nimeiweka ukutani ofisini kwangu!
![]()
Binadamu kweli matata.Mnapenda Polisi wa Zamani ambao Bunduki ikiibiwa Mtaa mzima unahama kwa Hofu ya kipigo.
Serikali imebebwa na mwananchi mlalahoi.Picha tafsida hii.Ujumbe mzito ndani yake.
Ingekuwa maandamano ya chadema?
Raiya walitegemea afande avue buti na trouser abaki na kaptula achague wanafunzi wachekechea wawili waliokwama hapo awabebe avuke nao upande wa pili avae buti alafu aende zake kazini.
Tunamuomba member wa jf,ambaye ni police atwambie hilo ni ktk mafunzo gani
Serikali imebebwa na mwananchi mlalahoi.Picha tafsida hii.Ujumbe mzito ndani yake.