IGP Mangu hawa ndo 'askari' wako!!

IGP Mangu hawa ndo 'askari' wako!!

jionee utofauti
 

Attachments

  • 1431016978513.jpg
    1431016978513.jpg
    29.3 KB · Views: 1,000
Ni askari wa bongo?? Au wa kwenye movie za kihindi????
 
Mijitu mingine bhana.., sasa we ulitaka aloweshe soksi zake?! kwani yuko vitani?! labda anaenda zake kujinunulia doghnut tu.., mwache na maisha yake bhana..
Hahahaha! Kweli Jamiiforums haikeri hata cku moja.. Yani full burudani tu
 
askali naona yupo sahihi sioni sababu aloe maji ya mavi wakati yeye hausiki na miundo mbinu mibovu, kama maafisa wa tanrod wanabebwa yeye afanyaje?
 
Huyo ni mheshimiwa mlinzi wa usalama wa huyo raia na mali zake.so lazima alipe kwa fadhira kama hizi.
 
Ange m beba raia nayo shida akibebwa askar shida mbona watu nyiny ni mandumi ya kuwil kwan kuna tabu gan hapo au kuna kip amekosea au mnajua alikuwa anaenda wap kwa wakat huo
 
Askari wana kazi ya kulinda raia na mali zao.... anamlinda mbebaji asimwangushe
 
Mijitu mingine bhana.., sasa we ulitaka aloweshe soksi zake?! kwani yuko vitani?! labda anaenda zake kujinunulia doghnut tu.., mwache na maisha yake bhana..
hata majeshi ya wenzetu huwa askari ndio anatakiwa awe na utayari wa kuokoa pindi dharura inapotokea! Ila kubebwa mgongoni ka beiby! Hii sijawahi kuiona popote duniani
 
Hii ni kali sana! In principal huyu askari amejisahau sana kajiweka kiraia na uniform! Alitakiwa kuokoa watu na sio kubebwa mgongoni
 
Jamani naomba kuuliza, tatizo ni kuwa huyu si mtu au ni kwa vile ni askari? Hiyo ajira si ilibuniwa na ni miongoni mwa zile mil 2 za JK? Mbona mnamsakama mbebaji mliona hizo boot ndo mzigo ay unifomu?
Acheni jamani, ni ubunifu wa ajira na hapo hakuna askari wala dobi, kinachomata hapo ni MKWANJA UTOKE. Katoa nani ni zaidi ya habari, bora ziwe halali sawa na makubaliano
 
Back
Top Bottom