1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,291
Hao askari sio wa Tanzania.
Hizo picha zimetengenezwa huko India.
Hizo picha zimetengenezwa huko India.
Hao askari sio wa Tanzania.
Hizo picha zimetengenezwa huko India.
Aibu mwanaume kubebwa mgongoni na mwanaume mwenzako yani wanaume wa siku hizi wamekua nyororo na legelege mno ni aibu sana ndo mana wananyang'anywa silaha na vibaka shame.
Hivi ule muswaada haujasainiwa?
Hivi ule muswaada haujasainiwa?
Hapo sijaona kosa,ulitaka avue viatu na kupandisha suruali yake?huoni raha ya mgongo hapo?
Hao askari sio wa Tanzania.
Hizo picha zimetengenezwa huko India.
View attachment 249858
Malamiko ya askari nyoronyoro sasa yamejitokeza kuliko wakati mwingine wowote.
Pichani tujionee wenyewe somo la ukakamavu kama linavyotolewa CCP Moshi!
Hivi hapa ni HAWA ASKARI WAKO AU HUYU ASKARI WAKO?????? mie namuona mmoja hapo :sly::sly::sly::sly: 🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Tazama vizuri mkuu, yupo askari mmoja tu hapo lakini kutokana na matukio ya hivi karibuni, hawa askari wa Mangu wanauwawa kirahisi rahisi, wananyag'anywa silaha kirahisi na wako nyoroyoro zaidi.Hivi hapa ni HAWA ASKARI WAKO AU HUYU ASKARI WAKO?????? mie namuona mmoja hapo…:sly::sly::sly::sly: 🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Askari polisi ni legelege siku hizi