Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,568
- 28,530
View attachment 249858
Malamiko ya askari nyoronyoro sasa yamejitokeza kuliko wakati mwingine wowote
Pichani tujionee wenyewe somo la ukakamavu kama linavyotolewa CCP Moshi!
Alivyo nyotonyoro atazama tu!Rushwa imetufanya tupate Askari ambao hata hawana vigezo.
Hapo nikifika katikati namtupa.
Mijitu mingine bhana.., sasa we ulitaka aloweshe soksi zake?! kwani yuko vitani?! labda anaenda zake kujinunulia doghnut tu.., mwache na maisha yake bhana..
Mijitu mingine bhana.., sasa we ulitaka aloweshe soksi zake?! kwani yuko vitani?! labda anaenda zake kujinunulia doghnut tu.., mwache na maisha yake bhana..
Hapo kama angekuwa JWTZ ndo ningeshangaa. askari polisi wetu watanashati bwana
Ingekuwa maandamano ya chadema?
Shenzi kabisa, yaani tunalipa kodi ya uniform afu tunazibeba wenyewe!
Yaani mlalahoi amekuwa ambyulensi?Mimi sioni ubaya...hamjui hali yake kiafya ilikuwaje wakati yupo hapo...
Ningekuwa IGP Mangu namvua hayo magwanda na kumvalisha aliyembeba huyo litepwete.Shenzi kabisa, yaani tunalipa kodi ya uniform afu tunazibeba wenyewe!