IGP Mangu afunguka haya baada ya kuondolewa

IGP Mangu afunguka haya baada ya kuondolewa

kumbe mauaji ya huko ni changa moto mpya ambayo haijawahi kutokea nchini?

basi lipo jambo maana hata yeye mwenyewe kakwepa kulizungumzia hadharani
Hivi wanaona shida gani kusema ni al shabab
 
HIVI HII INAWEZA KUTOKEA KWA CDF.?
ghafla tu unasikia katenguliwa
 
Bora ujiajir kuliko kuajiariwa hasa katika huu,lait ingekuws mi ndiyo Mangu ningeacha kaz kuliko kudhalirishwa namna hii,ila kwa TZ weng wao hawana kujiuzulu mpaka wafukuzwe
 
SIONI KIPYA HAPA

KILARAHISI ANAKUJA NA MTUWAKE NAPALE ANAPOARIBU AMAKUTAKA KUBADILISHA ANAFNYA ATAKAVYO

MH MANGU ALIKUWA ENZI ZA JK NI SWALA LA KUSHUKURU MUNGU KUWEPO MPAKA MDA HUUNCHI ZINGINE AKIINGIA RAISI ANANZA NA TOPA YAKE MPYA TUPUNGUZE MANENO
 
Huyu ndo mzalendo sio wakina NAPE walibwata hadi mate kuwatoka
Hata huyu angekuwa hajuinfigisu za wana usalama angebwata na hakika wangemfananisha kama marehemu imrani kombe!
 
Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana.
 
Katika watu walioniuma kutumbuliwa ni huyu IGP Mangu.
Anyway huenda kuna jambo ameepushwa nalo bila mwenyewe kujua.
mmeanza ujinga wenu wa kujifanya mna huruma ilihali nyie ndo mlikuwa wapiga kelele kuwa Mangu amepwaya, acheni wazandiki nyie!!
 
Hahaha mwisho wa siku tutaambiwa serikali inaendelea kutoa ajira kwa wananchi wake...
 
Katika watu walioniuma kutumbuliwa ni huyu IGP Mangu.
Anyway huenda kuna jambo ameepushwa nalo bila mwenyewe kujua.
Jamani all is not fine with Mangu. Mkuu wa Utawala na Fedha Jeshi la Polisi amehusika na ufisadi wa kutisha huku Mangu akiangalia,tena wakiwa adjacent offices! Hivi kweli Mangu hakuweza kubaini kwamba Mhasibu wake mkuu ni mwizi?Very questionable.

Kuna issue ya Lugumi,Mangu alikuwepo.Ni issue ya aibu ambayo Mangu alipaswa kushuhulikia mapema hata kabla ya kuleta athari zinazo onekana sasa kwenye jeshi hilo. Kuna nini nyuma ya pazia?

Kwa ujumla Jeshi la Polisi limegubikwa na tuhuma mbali mbali zikiwemo rushwa,kushirikiana na wahalifu na ukosefu wa weledi kwa ujumla.Ilitegemewa kwamba Mangu angefanya kitu kubadilisha taswira hii,ikiwa ni pamoja na kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa kiutendaji na watendaji ili jeshi hilo liwe na tija iliyotegemewa. He hasn't done it.

Mbaya zaidi ni issue ya Mkuranga na Kibiti,mauaji yanafanyika huku jeshi la Polisi lipo!! Nini kazi ya Jeshi la Polisi sasa, ikiwa limeshindwa kulinda wananchi na mali zao?Kwa jinsi mambo yalivyo, jeshi la Police limeshindwa katika kutekeleza majukumu yake muhimu, kwa hiyo Bwana Mangu hana sababu kabisa ya kuendelea kuliongoza jeshi hilo.Maamuzi ya Rais frankly ni sahihi kabisa, tena yamekuja kwa kuchelewa sana.
 
Atalipwa Mshahara upi baada ya kupokwa madaraka.

Huyu magufail anaweza kuwa anatutwisha mizigo ya kulipa mishahara double double kwa vyeo kivuli wakati yeye mwenyewe halipi kodi.
 
Jamani all is not fine with Mangu. Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi amehusika na ufisadi kutisha huku Mangu akiangalia.Kuna issue ya Lugumi,Mangu alikuwepo.Mbaya zaidi ni issue ya Mkuranga na Kibiti,mauaji yanafanyika huku jeshi la Polisi lipo!Kwa jinsi mambo yalivyo, they could be part of the problem.Maamuzi ya Rais ni sahihi kabisa, tena yamekuja kwa kuchelewa.
Mkuu wa utawala na fedha ambaye alipiga Dili na Lugumi tayari alishatolewa na kuwa katibu tawala kule mwanza
 
Atalipwa Mshahara upi baada ya kupokwa madaraka.

Huyu magufail anaweza kuwa anatutwisha mizigo ya kulipa mishahara double double kwa vyeo kivuli.
Atapewa ubunge wa kuteuliwa kisha atakuwa waziri wa mambo ya ndani
 
Back
Top Bottom