jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,369
Mshara upi?Atapewa ubunge wa kuteuliwa kisha atakuwa waziri wa mambo ya ndani
Maana stahili za u "GENERAL" haziepukiki!!!
Mshara upi?Atapewa ubunge wa kuteuliwa kisha atakuwa waziri wa mambo ya ndani
hata ukienda kuishi pembezoni mwa mji watadai umevamia mbugaHata hapo unapolala kama karibu na barabara TANROADS wanahusika
kwa kawaida Tanzania huwa IGP anasubiriwa hadi mda wa kusitaafu haijawahi kutokea IGP anabadilishwa kabla ya mda wake wa kustaafu.SIONI KIPYA HAPA
KILARAHISI ANAKUJA NA MTUWAKE NAPALE ANAPOARIBU AMAKUTAKA KUBADILISHA ANAFNYA ATAKAVYO
MH MANGU ALIKUWA ENZI ZA JK NI SWALA LA KUSHUKURU MUNGU KUWEPO MPAKA MDA HUUNCHI ZINGINE AKIINGIA RAISI ANANZA NA TOPA YAKE MPYA TUPUNGUZE MANENO
Ahsante kwa taarifa mkuu.Ila dah,unakamata na kushuhulikia majambazi ya nje nyumbani kwako unalala na majambazi!Ni vichekesho sana mkuu.Inaleta taswira mbaya sana.Mkuu wa utawala na fedha ambaye alipiga Dili na Lugumi tayari alishatolewa na kuwa katibu tawala kule mwanza
0784581096 piga hiyo kama unautaka ukuu wa wilaya au hata huduma zingine au vyeo vya ukurugenzi wa wilaya katibu tawala nkNaombeni namba za Bashite nijikombe nahisi name naweza pata japo U-DC
Jamaa huwa hapangiwi na kama uyo CDF alimsindikiza kuchukua fomu sawa haitotokeaHIVI HII INAWEZA KUTOKEA KWA CDF.?
ghafla tu unasikia katenguliwa
CDF na yeye hatavuka 2020 kwa sababu wanajeshi wanamlalamikia sana kaamua kuminya mikopo kwa dhana ya kubana matumizi huku akiwalazimisha kukaa kazini mpaka saa 12 jioni pasipo kulipwa over time, CDF wa sasa amewakera wanajeshi hakuna Mfano.Jamaa huwa hapangiwi na kama uyo CDF alimsindikiza kuchukua fomu sawa haitotokea
General George WaitaraIliishatokea mtu akastaafishwa kabla ya muda wake kufika.
Gen Robert MbomaGeneral George Waitara
Bora mkono uende kichwani kuliko kuogopa kaziBora kuuza genge kuliko kufanya kazi na JPM maana hujui kesho ataamka vipi
Aisee kwa hiyo awamu hii wali Moto mchuzi Moto kwa kweli tutaisoma
Mangu msalimie Kova..nafikiri wale marafiki utaendelea kuwa nao wote..
CDF na yeye hatavuka 2020 kwa sababu wanajeshi wanamlalamikia sana kaamua kuminya mikopo kwa dhana ya kubana matumizi huku akiwalazimisha kukaa kazini mpaka saa 12 jioni pasipo kulipwa over time, CDF wa sasa amewakera wanajeshi hakuna Mfano.
Azungumze nini Mangu? Duniani kote kila Rais anayeingia madarakani huingia na safu yake mpya ya wana usalama. Nilipoona Sirro ameteuliwa kuwa Kamishna nilijua tu anasogezwa jirani na mkuu ili ajue kwa hakika majukumu ya mkuu ili pindi anapoteuliwa apige kazi bila woga Maana nafasi ya IGP haina probation.kumbe mauaji ya huko ni changa moto mpya ambayo haijawahi kutokea nchini?
basi lipo jambo maana hata yeye mwenyewe kakwepa kulizungumzia hadharani