GE2025 IGP Achana na mpango huo Mara moja

GE2025 IGP Achana na mpango huo Mara moja

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hadi ukiona wanatiririka na comment jua wameelewa mkuu
Nimezipitia hakuna aliyefafanua nini kinaendelea.

Mleta katoa onyo tu bila maelezo zaidi.

Mpaka sasa sijajua huyo anayeonywa kafanya nini, nisaidie mkuu.
 
Angusha uzi bas tunakutegemea humu ndani
Hawa hawana maana umbea tu ,kujifanya majasusi na ramli zao kwanza hata ikiwa kweli IGP hawezi kua mjinga kiasi hicho awe exposed kwenye jambo la namna hilowakati watanzania tumelala. Watu pekee wa kukomboa huu ushenzi ni sisi raia wenyewe tukiamua maana hao viongozi wote wamelambishwa asali.
 
Wazee muwe mnafunguka...
Haya mafumbo ya nini?
Mpo nyuma ya fake ID na VPN lakini bado mnaongeza na hizo codes..

hii inaonyesha jinsi gani Watanzania walivyo waoga.. kwa hii hali hii taifa kulikomboa ni ngumu..
 
Back
Top Bottom