GE2025 IGP Achana na mpango huo Mara moja

GE2025 IGP Achana na mpango huo Mara moja

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Tatizo hajali kauli ya raia yeyote, kaamua kuvaa mask a.k.a boshori na masikio kaweka gundi ilihali anaona lakini haelewi.

Nepal gaihatoa funzo, Malawi kwa heshima ya sanduku haijawapa funzo, wanataka kuingia kwenye kumbukumbu za nchi kama Hitler.
Umenielewa sana
 
Tatizo hajali kauli ya raia yeyote, kaamua kuvaa mask a.k.a boshori na masikio kaweka gundi ilihali anaona lakini haelewi.

Nepal gaihatoa funzo, Malawi kwa heshima ya sanduku haijawapa funzo, wanataka kuingia kwenye kumbukumbu za nchi kama Hitler.
Issue ya Malawi bado mbichi sana , hadi muda huu maafisa 12 wameshakamtwa kwa kushirikiana na kikundi cha wa wa Israel kuudukua mfumo ,anaetajwa kushinda wenda ndiye atakaeshindwa .


Kwetu Boti ipo Dodoma na dereva anamzuka nihatari Engine ishang'olewa mmiliki hajui, akipiga video call anaonyeshwa ya kwenye bango anatuma watu wawakusanye wazee wa ukoo wakamfuate mwali, majirani wanaogopa kumjulisha kuhusu mazishi ya mwali kwakuhisi anaweza kutahariki.

...tarehe ya safari inaendelea kusisitizwa .

Wanaotumwa kwenda kuwakusanya wazee wakifika najulishwa kwa upole tu ,nahisi sintasafiri kwasababu ya udhuru wakifamily .



Mmiliki anataka kumtumia dereva na dereva anamtumaini mmiliki wa chombo ili kuzifikia ndoto ,utata ni usalama wa hali ya engine ,kila siku mtoto wa boss anatoa kifaa kimojakimoja na kuuza .

Asipostukiwa kabla ya tarehe ya safari hakutabakia na kitu ndani yake .

Zingatia engine
Zingatia wageni
Zingatia wanaowafuata wageni
zingatia mtoto wa Boss
Zingatia na dereva
Usimsahau mwenye Boti na mwisho jitahidi umjue dereva
Then code_free
 
Nnawazoom tu
 

Attachments

  • FB_IMG_1758242548293.jpg
    FB_IMG_1758242548293.jpg
    48 KB · Views: 10
Issue ya Malawi bado mbichi sana , hadi muda huu maafisa 12 wameshakamtwa kwa kushirikiana na kikundi cha wa wa Israel kuudukua mfumo ,anaetajwa kushinda wenda ndiye atakaeshindwa .


Kwetu Boti ipo Dodoma na dereva anamzuka nihatari Engine ishang'olewa mmiliki hajui, akipiga video call anaonyeshwa ya kwenye bango anatuma watu wawakusanye wazee wa ukoo wakamfuate mwali, majirani wanaogopa kumjulisha kuhusu mazishi ya mwali kwakuhisi anaweza kutahariki.

...tarehe ya safari inaendelea kusisitizwa .

Wanaotumwa kwenda kuwakusanya wazee wakifika najulishwa kwa upole tu ,nahisi sintasafiri kwasababu ya udhuru wakifamily .



Mmiliki anataka kumtumia dereva na dereva anamtumaini mmiliki wa chombo ili kuzifikia ndoto ,utata ni usalama wa hali ya engine ,kila siku mtoto wa boss anatoa kifaa kimojakimoja na kuuza .

Asipostukiwa kabla ya tarehe ya safari hakutabakia na kitu ndani yake .

Zingatia engine
Zingatia wageni
Zingatia wanaowafuata wageni
zingatia mtoto wa Boss
Zingatia na dereva
Usimsahau mwenye Boti na mwisho jitahidi umjue dereva
Then code_free
Ni kiswahili lakini sielewi mweeh!
 
Huyu boya kaamua kuwashika masikio .

Kila ujinga anaopost mnacomment.

Hiki nini sasa
Mkuu na wewe ume comment 😄

Kwaiyo na wewe umeshikwa wapi? Kama wana comment wameshikwa masikio
 
Mkuu na wewe ume comment 😄

Kwaiyo na wewe umeshikwa wapi? Kama wana comment wameshikwa masikio
Mkuu wewe unakiona alichokiandika kinajitosheleza??

Kama umemuelewa nieleweshe mkuu.
 
Nchi hii ina vituko! Ila tafadhalini msimzuru Mh: T. Lissu, mkifanya hivyo Watanganyika tutakinukisha.
Mtu akiwa mgeni hapa Afrika anaweza kuamini ulichoandika. Lisu ana wafuasi hopeless sana.
 
Back
Top Bottom