Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Mitoto kizazi cha laana
Jina ni baya ama mitazamo tu vichwani mwetu![]()
unakatisha wakat unaujua ukweli kwamba jina ni baya.
Wakerekezi? Hilo labda kwa M7 ama Kagame. Wainaina sio jina la kike. Ungeuliza maana ya majina hayo ungeyapenda. Umesahau na Nyambura, Njeri, Wanjugu, Wamuyu, Wanja, Wanjiku, Wangui na Wairimu. Hiyo U huwa inatamkwa kama O, yaani Wamboi, Wamoyo. Alafu hamna haja ya kuyafupisha, yote kitamaduni huwa yanakuja na A.K.A zao. Wanjiku inakuwa Shiko, Wanjiru-Shiro, Wangui-Kui, Wairimu-Mimmo/Nimo, Wambui-Bobo n.k nk. Majina matamu kweli kweli! Cc. Sky Eclat
yaan hapo ndipo nachoka kwelikweli na majina ya akinadada Wa kenyaHayo ndio majina ya kina dada wa kule maeneo ya mlima Kenya. Pia kuna kina Atieno, Akoth, Cheptai, Naliakaa, Namunyak, kutoka sehemu zingine. Napenda majina kama hayo, ambayo yana maana flani nyuma yake. Kama Nyambura na Akoth walizaliwa wakati wa mvua, Nyawira naye ni msichana mchapa kazi, Wanjugu naye alizaliwa wakati wa msimu wa mbaazi. Yaani majina halisi ya kiafrika. Sio akina Jane John. 😀![]()
![]()
yaan hapo ndipo nachoka kwelikweli na majina ya akinadada Wa kenya
Mkuu hawa malezi ya wazazi yamewashinda sasa dunia itawanyoosha soonPozi za ajabu ajabu alafu wao wenyewe wanaona zipo freshi tu.![]()
Lazima watanyooka.Mkuu hawa malezi ya wazazi yamewashinda sasa dunia itawanyoosha soon
Mawazo yao ni ya kustaajabisha, tofauti sana na kizazi cha jana.Mitoto kizazi cha laana
What about Corazon'?Tatzo la wakenya utakuta mwanamke mzur lakn jina lake sasa...
Mara wanjiru, wambui, wainaina, wakarekezi.. Yaan linapoteza hadi hamu.
Kwamboka. Hahaha! 😀 We jamaa buana!What about Corazon'?
Kweli kabisa sikuwa nimesikia hilo la Mwanauani. Kuna mbunge kule Mombasa anaitwa Khatib Mwashetani. Hahaha. 😀Mwanauani,mwanamkasi,mwadiwani,mwanaamiri ni majina ya kidigo,haya unayakuta pale tanga mjini kwa wadigo asilia.mpaka kule zingibari njia ya kwenda mombasa mpaka mombasa yenyewe.