Aaaahg kila kitu Nyerere,sijui daraja kigamboni yeye,mara airport yeye,eeh vyuo navyo yeye,tufikie hatua tumwache mwalimu apumzike maana naona anajing'ata kila leo huko aliko.i like Tanzanite arena or Serengeti stadium au bora Estadio de Kilimanjaro.
Kwani ni jina baya?Timu ya taifa tu inaitwa "taifa stars". Unategemea uwanja uwe na jina???
Tangu muambiwe kuchapa kazi imekua wimbo vitendo zero
Hehehe bullar buuuuuuuTangu muambiwe kuchapa kazi imekua wimbo vitendo zero
Siyo makinikia??Kama vipi uitwe tanganyika
Sio jina baya ila ni "generic name" kama vile tu uwanja wa taifu kuitwa " uwanja mkuu wa taifa"Kwani ni jina baya?
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
nyerere angepumzishwa sasa...kila kitu ni yeye hamna wengine wenye michango?
haya rudisha simu kwa dada na ukamalize homework yako.....
[emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]haya rudisha simu kwa dada na ukamalize homework yako.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu naona umeamua kupita na siku ya mtu bila urumahaya rudisha simu kwa dada na ukamalize homework yako.....
Kuna habari kwamba iliwahi kupendekezwa kwamba uitwe Benjamin William Mkapa Stadium, kama kumpa Heshima huyu mtu kwa kuujenga uwanja, lakini kwasababu finishingi ilifanyika kipindi cha JK, etiI kukawa na mvutano kwamba uitwe Jakaya Mrisho Kikwete Stadium hii ni kwa wale waliokuwa wanajipendekeza kwa utawala uliopo, na kwasasa kuna habari kwamba kuna watu eti Wanataka uitwe John Pombe Magufuli Satdium. Kwahiyo tusubiri jina laweza kutoka mda si mrefuUkiwa unauingia uwanja huu wa kisasa na mkubwa kuliko ata viwanja vingi barani ulaya na Africa, unakutana na bango kubwa mbele yake linaloutambulisha uwanja huo kwa majina ya 'Tanzania National Main Stadium' kwa tafsiri isiyo rasmi sana 'uwanja mkuu wa Taifa', na hili ndio jina lake, jina lilobuniwa na watu ambao uenda ni wasomi kabisa na wana exposure kubwa tu ya kuzunguka huku na huko.
Asee kituko iki kinachekesha sanaa maana ni sawa na kumtaja mnyama kwa wajihi wake, na kusema tu huyu ni mbwa, sasa nani asiejua kua uyo ni mbwa? Wewe sema Jina lake nani?
Duniani kote kila nchi ina uwanja wa taifa lakini vyote vina majina yake na yenye kuleta maana tu, majina yapo mengi sana ambayo yangekua kama utambulisho wa taifa kwa namna yake, sasa uwanja mzuri kama huu wetu wa taifa si ungeitwa tu ata 'Mwalimu Nyerere Stadium' au 'the Serengeti Arena' au ata Tanzanite Stadium na majina mengi tu yenye maana kubwa hapa nchini.
Sasa et uwanja unaitwa Tanzania National Main stadium? Sasa si kituko hiki au? Ni hatujui kiingereza au tunajua national main stadium ni bonge la jina la kimataifa? Tunatia aibu bhana hasa nyie TFF, acheni zenu uwanja upewe jina ilo, kama uko vijijini tu Ng'ombe wanapewa majina mazuri tu na hawaitwi 'Cow' kama nyie mlivyofanya, sasa mnashindwa wapi nyie? Muuite ata Chief Mkwawa Stadium.
Majina matamu kinyama. .....Aaaahg kila kitu Nyerere,sijui daraja kigamboni yeye,mara airport yeye,eeh vyuo navyo yeye,tufikie hatua tumwache mwalimu apumzike maana naona anajing'ata kila leo huko aliko.i like Tanzanite arena or Serengeti stadium au bora Estadio de Kilimanjaro.