never Se me
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 702
- 1,006
- Thread starter
- #201
Zinapatikana eneo nililopo tu, nikiwa nje ya eneo huduma nakosa.Napataje hizo bundle?
Hahahah nimecheka sana, eti yuko mkoani na kiwango hakizidi 5000 kwa mwezi any way ni mtazamo wako no need to argue against you.Usijisumbue Na uyo yupo mkoani.tena matumizi yake ni chini ya 5000 Kwa mwenzi .tigo wanamtaka akue kimatumizi ivo Wana mtamanisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ukweli sasa utakiHahahah nimecheka sana, eti yuko mkoani na kiwango hakizidi 5000 kwa mwezi any way ni mtazamo wako no need to argue against you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa kutapeliwa Injinia
Kama kunamtu kadai nime mtapeli nitag Nita unganisha line yako freeNaogopa kutapeliwa Injinia
Nakuja PM nikuambie kitu nahisi umenikumbusha jambo Mr/Mrs NeverSio mjadala mkuu .ninauzoefu Na ninacho Fanya.ninajua sababu za Kwa nn ww unapata bando izi mwengine ape tofauti Na ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akubariki we mkaka umeniunganisha no zangu zote mbiliFanya laini yako iwe ya chuo Kwa bei cheeee kabisa . Ni tigo pekee tu
Call me 0714248444 au nitumie sms
Malipo ni bahada ya laini yako kuwezeshwa.
Unaweza uka ni pm au comment namba yako .
Malipo ni Tsh2000/= pesa ya kitanzania
NEW UPDATE 13/01/2019 TIME 11:12
KUTOKANA NA BAHAZI YENU KANITAPELI BAHADA YA HUDUMA SASA NI PESA KWANZA.
NEW UPDATE 14/01/2019 TIME 17:02
WALIO NITAPELI ADI SASA
EMMANUEL MADETE MWENYE NAMBA 0674460827 YEYE KANIWEKA BLACK LIST
MOSSESS LAIZER MWENYE NO 0653184937 UYU JAMAA KANITAPELI PIA YEYE BAHADA YA KUNGANISHWA AKADAI AJAPATA OFA
HUMPHREY SWAI MWENYE NAMBA 0655404226.
PIA WW MDADA MWEMBIE NDUGU YAKO SIJAPATA PESA KUPITIA KWA WAKALA NI LIPE KABLA SIJA ATTACHED ID YAKO
bahazi wanakosa ungwana .mtu nakunganisha .unadai ujapata . wengine munanitumia namba za Bibi zenu waliopo ikwilili. Mtu nakunganisha unadai kunilipa Adi kesho .mwengine ampokei simu.
IKIFIKA SAA KUMI NITOA LIST ZA NAMA WALIO NITAPELI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona vitu vipo wazi!.
Serikali ipo,viongozi wapo. Kama umeona umezurumiwa kwanini hukuwashitaki ama kwenda ngazi za juu?? Vyombo husika vya kutetea masilahi ya wafanyakazi(freelancer) vipo .
Nishakuambia mpaka sasa taarifa zako zipo wazi..
Nikuulize tu kijana;
Sio ww ulitishia kuchoma magari ya kampuni yako moto? Sio ww ulileta vurugu kwenye kikao ofisini kwako(morning meeting) na kuanza kuhamasisha uwapige mabosi zako?. Sio ww ulitishia kuwachoma wakubwa zako na bisibisi?
Sio ww ulitukana wakuu wako wa kazi na kuwatishia maisha na ukawaambia utawafanyizia mtaani?
Ama unataka niseme nn kuaminisha uma hiki unacholalamika huku kuwa ni cha upotoshaji?
Mabosi zako walikukalia kimya na kusema wakusamehe tu kwa sababu kijana unatafuta maisha,lkn videos na matukio niliyoyataja hapo juu ninazo na sikuwa nayajua haya kabla. Ila kupitia huku jf,nimetumiwa video zako.
Narudia tena! Sikutishi,ila nakuelekeza tu. Maana ww ni kijana na unatafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona natukanwa hv!!! Wahusika mpo wapi?
Naamini Jf ni sehem ya mtu kutoa maoni na kuchanguia kwa uhuru na uwazi,iweje ww unitukane na kunizalilisha kiasi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app