Ifahamu serikali ya ithibati

Ifahamu serikali ya ithibati

johnmashilatu

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
1,037
Reaction score
1,251
1. Haigharamii elimu ya waandishi wengi wa habari, lakini inawatoza Tsh.50000 kila mmoja.

2. Haijali wana ajira au hawana,lakini inawatoza Tsh. 50000 kila mmoja.

3. Haijui wanalipwa kiasi gani, wana mikataba au wanayo, inawatoza Tsh. 50000 kila mmoja.

4. Una tuma maombi online na kulipa ada ya Tsh 50000, lakini wakikuthibitisha utaelezwa kirahisi fika ofisini uchukue kitambulisho chako, kana kwamba waandishi wote wanaishi Dar. Ninafahamu kuna vituo vya radio kasulu, muleba,Tarime nk. Gharama za safari analipa nani?

5. Haifanyi jitihada kusaidia waandishi, ikiwa ni pamoja na kuondoa urasimu wa kupata taarifa, lakini unailipa Tsh. 50000.
Nk, Nk.....

6. Kisha unatangaziwa kuwa "hadi sasa zaidi ya waandishi 3,250 wamepata ithibati". Hizi ni sawa na zaidi ya Tsh. Milioni 160, kutoka kwa waandishi kwenda serikali ya ithibati.

Hata hivyo iko sawa, kwani imefanikiwa kutengeneza watu wa aina inayoweza kuwatumia ipasavyo
 
1. Haigharamii elimu ya waandishi wengi wa habari, lakini inawatoza Tsh.50000 kila mmoja.

2. Haijali wana ajira au hawana,lakini inawatoza Tsh. 50000 kila mmoja.

3. Haijui wanalipwa kiasi gani, wana mikataba au wanayo, inawatoza Tsh. 50000 kila mmoja.

4. Una tuma maombi online na kulipa ada ya Tsh 50000, lakini wakikuthibitisha utaelezwa kirahisi fika ofisini uchukue kitambulisho chako, kana kwamba waandishi wote wanaishi Dar. Ninafahamu kuna vituo vya radio kasulu, muleba,Tarime nk. Gharama za safari analipa nani?

5. Haifanyi jitihada kusaidia waandishi, ikiwa ni pamoja na kuondoa urasimu wa kupata taarifa, lakini unailipa Tsh. 50000.
Nk, Nk.....

6. Kisha unatangaziwa kuwa "hadi sasa zaidi ya waandishi 3,250 wamepata ithibati". Hizi ni sawa na zaidi ya Tsh. Milioni 160, kutoka kwa waandishi kwenda serikali ya ithibati.

Hata hivyo iko sawa, kwani imefanikiwa kutengeneza watu wa aina inayoweza kuwatumia ipasavyo
Tunashindwa kuwapambania waandishi kwa sababu pamoja na kunyanyaswa kote huko, bado ni machawa na wanafuata maelekezo waandike na kuacha kipi
 
Tunashindwa kuwapambania waandishi kwa sababu pamoja na kunyanyaswa kote huko, bado ni machawa na wanafuata maelekezo waandike na kuacha kipi
Mhadhiri wa uandishi mwenye PhD, yupo busy na u-mc, halafu mtendaji wa bodi ya waandishi ni mwanasheria.

Kisha kuna wadhibiti wengine, mamlaka, wanatunga kanuni na miongozo dhidi ya waandishi. Huku wamejaa wasomi wa madaraja..

Wakati dunia ikikimbia na teknolojia huku vyombo vya mapokeo vikikabiliwa na changamoto lukuki, kuna mdhibiti wa hadi maudhui mtandaoni.

kwa kutambua udhaifu wa waandishi, wawili hawa hufanya kazi ya polisi, dpp, mahakama na hata magereza.
 
Back
Top Bottom