Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Halafu huyu aliyewahi kupata jiwe ni mzungu wakati mwingine aliyechelewa ni mweusi.Poleeee, mjamaa ameona mwenziake kapata jiwe kaacha kuchimba shimo lake anakomaa kwenye shimo la mwenzake wakati katika shimo lake angeendelea kidogo tu angeokota jiwe, huo ndio ukweli wa maisha tunayoishi .....
What does it reflect?