Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Huu ni msemo wa Mmarekani maarufu kuliko wote Duniani Malcom X, kwamba kama hauna msimamo maishani mwako basi wewe kila gari utadandia tu bioa hata ya kujua uelekeo wake, ndiyo sisi Waafrika tulivyo kila Gari tunadandia tu linakotupeleka wala hatujui!
,,If dont stand for something you will fall for anything"!
Hawa ni wahitimu wa Chuo Kikuu cha Aga Khan, kulikuwa na haja gani kuvyaa Kishia? Wewe mtu mweusi na Shia Islamu wapi na wapi?
Hapa ni Tanzania na sisi ni Watanzania hivyo hicho Chuo kilipaswa kuambiwa kwamba Muhitimu wa Chuo Kikuu hapa anavaa hivi na siyo vile utakavyao wewe, hutaki sepa!
Naibu Gavana wetu akivaa kama Aga Khan!
Upuuzi na Ujinga huu!
,,If dont stand for something you will fall for anything"!
Hawa ni wahitimu wa Chuo Kikuu cha Aga Khan, kulikuwa na haja gani kuvyaa Kishia? Wewe mtu mweusi na Shia Islamu wapi na wapi?
Hapa ni Tanzania na sisi ni Watanzania hivyo hicho Chuo kilipaswa kuambiwa kwamba Muhitimu wa Chuo Kikuu hapa anavaa hivi na siyo vile utakavyao wewe, hutaki sepa!
Naibu Gavana wetu akivaa kama Aga Khan!
Upuuzi na Ujinga huu!