Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!
Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!
Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!
So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!
Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!
Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!
WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!
NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!
NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!
Mkuu,
Kama vile ulikuwa kwenye akili yangu. Magufuli atakuwa mtumishi wa JK, na nataka nikuambie tu kwamba kwa Magufuli tutaendelea kuongozwa na Kikwete na Mkapa kwa miaka 5 au 10 ijayo. Hakika ni majuto kwa watanzania.