If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa mahakama zetu sifahamu adhabu itakuwa ni ipi labda wajuvi waeleze.

Ila kikawaida ni faini kubwa au jela au adhabu zingine kali.

Peter Madeleka alikumbwa na hii.
Kuna IGP aliwahi kuitwa Mahakamani kwa tuhuma za kutelekeza mtoto aliyezaa na house girl, inasemekana "he didn't show up"
 
Back
Top Bottom