If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

Hakuna cha kufikirisha hapo. Hao wote wanajuana. Hata hizo summons zimetolewa baada ya wahusika kuulizwa kama zitolewe ama zisitolewe. Na wakiamua hawataki kuitikia wito mahakama itajulishwa na kesi itafutwa kwa masharti dhaifu sana kama ile ya mhadhiri wa UDOM.
 
Kwa mahakama zetu sifahamu adhabu itakuwa ni ipi labda wajuvi waeleze.

Ila kikawaida ni faini kubwa au jela au adhabu zingine kali.

Peter Madeleka alikumbwa na hii.
Kimsingi Jamhuri itakuwa haina nia ya kuendelea na shauri ili IGP na wenzie wasije kuyumbishwa wakaivua nguo nchi
 
Court imeshatoa Summons kwa hao miamba vipi wasipotokea??? Mahakama ita issue warrant of arrest? Vitu vingine vinafikirisha sana.

Mkuu sheria ni tamu sana, Kama wa Tanzania tunatakiwa kupigania uhuru wa mahakama kwa nguvu zoote.

Itakua nzuri kwa watawala na watawaliwa, Mfano saivi kungekua na uhuru wa mahakama ndugu wa Nchim.. wangefungua kesi kumuamuru aachiwe huru.
 
Mkuu sheria ni tamu sana, Kama wa Tanzania tunatakiwa kupigania uhuru wa mahakama kwa nguvu zoote.

Itakua nzuri kwa watawala na watawaliwa, Mfano saivi kungekua na uhuru wa mahakama ndugu wa Nchim.. wangefungua kesi kumuamuru aachiwe huru.
Kwani Nchimbi ameshikiliwa mahali?
 
Kwa mahakama zetu sifahamu adhabu itakuwa ni ipi labda wajuvi waeleze.

Ila kikawaida ni faini kubwa au jela au adhabu zingine kali.

Peter Madeleka alikumbwa na hii.
Lini Madeleka alikumbwa nayo ?
 
Back
Top Bottom