Idu nacheka ninapofuatilia kesi ya Lissu. Kwamba mtuhumiwa anawafundisha waendesha mashitaka nini cha kufuata kisheria!

Idu nacheka ninapofuatilia kesi ya Lissu. Kwamba mtuhumiwa anawafundisha waendesha mashitaka nini cha kufuata kisheria!

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Nakunywa zangu balimi huku nachanganya na Konyagi ndogo.

Mtuhumiwa wa kosa la uhaini anatoa shule kwa mawakili wa serikali.

Kwamba ushaidi mpya ni tofauti na ushahidi wa nyongeza.

Hawa mawakili wa serikali wanalipwa mshahara kwa kodi za mkulima kama Idugunde
 
Yaani anawafundisha jinsi ya kumfunga
Nakunywa zangu balimi huku nachanganya na Konyagi ndogo.

Mtuhumiwa wa kosa la uhaini anatoa shule kwa mawakili wa serikali.

Kwamba ushaidi mpya ni tofauti na ushahidi wa nyongeza.

Hawa mawakili wa serikali wanalipwa mshahara kwa kodi za mkulima kama Idugunde
I
 

Attachments

  • Screenshot_20260224-192110.jpg
    Screenshot_20260224-192110.jpg
    59.1 KB · Views: 6
Back
Top Bottom