Yaani unarudia tena kuniandikia hiyo 'c' yako? Na huu uzee wataka nitoke mboni za macho mie, na ubongo wenyewe huu wa kuscratch! Uache kabisa, unaninyima uhondo wa kusoma!!
Yaani unarudia tena kuniandikia hiyo 'c' yako? Na huu uzee wataka nitoke mboni za macho mie, na ubongo wenyewe huu wa kuscratch! Uache kabisa, unaninyima uhondo wa kusoma!!
Pole bishanga,ni hv tunaongelea id za jf ambazo nyingi zinaibuka kulingana na matukio mf.wahanga wa mafuriko!kuna watu wameibuka na id za mabwe pande,mafuriko,wahanga,km ivo,hope umeelewa now!
Pole bishanga,ni hv tunaongelea id za jf ambazo nyingi zinaibuka kulingana na matukio mf.wahanga wa mafuriko!kuna watu wameibuka na id za mabwe pande,mafuriko,wahanga,km ivo,hope umeelewa now!