Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Jamaa anakera sana....alafu anavyoongea iyo sauti sijui ya wapi!Sema idrisa anapenda kufatilia sana wenzake Sijui halionagi aibu.....lenyewe lilishinda 500M lakini hatujui hata zilienda wp mbona wt wametulia tu linauzi sana
Yani wakuja wakuja tu.