bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,357
- 9,545
Mambo ya ushakunaku na kimbele mswede bakini nayo huko Instagram na fesibuku sijui.....jf ni kambi ya ma great thinkers
Mambo ya ushakunaku na kimbele mswede bakini nayo huko Instagram na fesibuku sijui.....jf ni kambi ya ma great thinkers
Yote haya kayaleta harmorapa hlf sasa hivi katulia anaangalia wapi kuna kik kesho anaweza kwenda na waandish kwa idris kumpa Pole kwa maneno makali ya harmonize
AiseeYote haya kayaleta harmorapa hlf sasa hivi katulia anaangalia wapi kuna kik kesho anaweza kwenda na waandish kwa idris kumpa Pole kwa maneno makali ya harmonize
kanyimbo gani hako kamebuma?Idris na comedy zake za kuungaunga sometimes huwa anaboa alianza na Mond kuhusu wimbo wake wa merry u Mond akamnyamazia.
Sasa leo kahamia kwa harmonize, kashindwa kumvumilia, tena kamkuta harmonize na stress za kawimbo kake kubuma acha tu amchane
Ni vigezo vipi vinavyomfanya Idris kuwa Comedian?Idris ukimchukulia serious lazima udate by the way yule ni comedian
Idriss ni comedian, he is doing it for fun and fans
Kwa jimbo lipi?Nasikia anagombea 2020 ubunge, source : vyanzo vya karibu na Idrisa
Nami hili swali najiulizaga kila maraNi vigezo vipi vinavyomfanya Idris kuwa Comedian?
Tena wa daslamUnaweza kuta hii habari imeletwa na mwanaume kabisa.
Sio wa Madale tu...Siku hizi Jamaa wa Madale wakizidiwa hoja wanakimbilia kusema unapumuliwa ili wajitetee na kuamisha upepo.
Ila wote tunajua Harmorapa amefunika majamaa wote wa Madale.
Comedian..!?Wanasahau idrisa n katoto kadogo sana..uref wake wanadhan n mkuubwa..jamaa n comedian anafanya for fun..hamo nan cjui akaushe 2 as long kavamia jiji la dar aendana na mautan ya dar
hela anazo kwani lazima aanze kuzitumbua na kuwapa watu na uonesha anazo...idris anatabasamu tu kila mara mwcheni ajiachieEvelyn Salt huyu idris hela alipotezea wapi ?
Wabongo hatujui comedy....embu fatilieni comedians wa kwa wenxetu wanavyofanya hata obama wanamsema in a comedy way but coz obama anajua huyu jamaa ni comedian then wala hatoki povuComedian..!?
So hicho alichokiandika huyo Idris hapo ni sehemu ya comedy..!?
Ajabu..!