Wana JF za kazi? Naomba msaada wenu kuna Idhaa ngapi za kimataifa za Kiswahili duniani. Naomba mnisaidie kuzitaja na nchi zilipo. nafanya utafiti. Na kwa walioko katika Funga nawatakia Saum Maqbull
Saudia nao walikuwa wakitangaza Kiswahili. Sijui kama waliacha. Al jazeera hawajaanza. Misri nayo sijui kama bado wanaendelea kutangaza Kiswahili.idhaa ya marekano, china, ufaransa, el jaazira, ujerumani, afrika kusini, japan, rusia na bbc
Iran jee?
Kwa hiyo ni
Uingereza -BBC
Ujerumani- Marekani VOA
Iran-IRIB (Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran)
China-CIR (Redio China Kimataifa)
Japan
Ufaransa
Afrika Kusini
Saudia
Umoja wa Mataifa
Hakuna nyingine?
Ya Vatican vipi bado iko hai?
Misri, Russia, Pakistan bado nazo zina idhaa za Kiswahili?
Vipi Oman mpaka leo hawana Idhaa ya Kiswahili?